Kumbe wtz kwa watz pia huwa mnaitana manyang'au?I think you have undergone mad!
Ulichopost Ni mwendelezo wa upumbavu wa nyang'aus!
Go Tanzaniago baby!!
Tanzania na south nikama pua na mdomo , ni majirani sana , na watanzania weng wanaishi afrika kusini na weng wetu watz hatufuki kenyaKumbe wtz kwa watz pia huwa mnaitana manyang'au?Taarifa kwa ufupi ni kwamba sisi manyang'au huwa hatuwafagilii kama mnavotufagilia. Tupo bize na nchi ambazo tunaeza tukajifunza kitu kutoka kwao, k.m. S.A.
waeleze waeleweKumbe wtz kwa watz pia huwa mnaitana manyang'au?Taarifa kwa ufupi ni kwamba sisi manyang'au huwa hatuwafagilii kama mnavotufagilia. Tupo bize na nchi ambazo tunaeza tukajifunza kitu kutoka kwao, k.m. S.A.
Bac una shida ktk ubongo wako !! Iv ulishawahi kufika Sumbawanga, Tanzania ?Sina Covid
kule kwa wachawi waliotukuka?Bac una shida ktk ubongo wako !! Iv ulishawahi kufika Sumbawanga, Tanzania ?
Wanatuwaza sana hawa majirani zetu, sanasana hawa wa kusini. Ndio maana huwa wanaumwa sana na wanamwaga povu la kufa mtu kila mara Kenya inapotajwa, wakati sisi hatuna muda nao. Hiyo ndio 'defination' kamili ya 'ex-girlfriend'.Uganda, Tanzania na Somalia wanatusearch sisi ilhali sisi hatuna shughuli na wao. Hahaha