juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Message deliveredmessage delivery.
swissme
Kama upo huko mjini daslam kuna jamaa nasikiaga anafundisha kutema yai, ungejiunga angalau cha kuandika hata mistari miwilihahahaha huyu nae.
swissme
Kwani Ra's Simba hajakurudishia ile ada?message delivery.
swissme
the world is not fair... dunia haiwezi kwenda kwa haki, ingekua hivyo maisha yasingeenda kabisa.. wapo sahihi kabisa..Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia hapo,ila wakiwa na wasanii kama Joh Makini, Diamond au Weusi yaani wanakaa lisaa lizima wanahojiana tu,hata juzi kati Jay Moe walikaa nae wanahojiana hadi kipindi kinaisha,sasa kwa nini wasanii wengine wanadharaulika jamani na hii redio?
Tafuta wimbo ya Nash mc inaitwa zima nadhani utapata jbu la swali lakoHii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia hapo,ila wakiwa na wasanii kama Joh Makini, Diamond au Weusi yaani wanakaa lisaa lizima wanahojiana tu,hata juzi kati Jay Moe walikaa nae wanahojiana hadi kipindi kinaisha,sasa kwa nini wasanii wengine wanadharaulika jamani na hii redio?
Kina kirefuMansuli kaimba nyimbo gani kwani?!
Bora angeita kina kifupi....maana kazama kbs hajulikaniKina kirefu
halafu yuko Sweden sijui Canada,Sijui huko anaongeaga nnKama upo huko mjini daslam kuna jamaa nasikiaga anafundisha kutema yai, ungejiunga angalau cha kuandika hata mistari miwili