Watanganyika mnadharauliwa sana na vyombo vya dola hamjijui tu , kiongozi aliye wakusanya kwa mamia anakamtwa mbele yenu?

chararaa

JF-Expert Member
Mar 26, 2025
263
283
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
 
Watanzania hawana muda wa kuchezewa akili na genge la mamluki. Watanzania wanapenda amani. Hawapo tayari kutumika na genge la mamluki.
Hao mamia kwa mamia wanao jitokeza kwenya mikutano ya upinzani watokea oman? Au ni wa nyarwanda? Kidogo muwe na soni! Hata kama mmechagua kuwa watetezi wa watu na sio taifa
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Na mtashindwa sana mamamamae, nchi hii haitotokea akashinda mbaguzi wa dini na ukanda.
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Mimi siyo Mtanganyika
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Kwahiyo utitaka wafanyaje?wabebe bunduki nao kama wakamataji au ni ipi hoja yako hapa?
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Wabongo bado waoga sana..
I gekua n hi ingeni kama vile polisi mbona wangeuwawa kadhaa
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Wewe mwenyewe unaandika haya ukiwa na fweki id. Ungekua sio muoga ungetumia jina lako halisi na uwe verified kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Hakuna watu wanadharaulika kama Wazanzibari kwa kuwa kama kupe mgongoni mwa Bara mwanangu. Hata kama huyu habiiiithii wa sasa ni mwenzenu, ameonyesha mlivyo hovyoooo na minyoooo.
 
Hao mamia kwa mamia wanao jitokeza kwenya mikutano ya upinzani watokea oman? Au ni wa nyarwanda? Kidogo muwe na soni! Hata kama mmechagua kuwa watetezi wa watu na sio taifa
Watz huwa wanaenda kusikiliza tu siyo kwamba ni wafuasi wao. Hapo ndipo hujidanganya kuwa wanawafuasi wengi kumbe ni wasikilizaji tu. Leo Heche ameona live wamemwacha anakamatwa kama kuku tena pekee yake hata wapambe wake wamemwacha akamatwe kama kuku!! Chezea wabongo wewe!! 🤣🤣🤣
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa watanganyika maana walio jaa hapo ni watanganyika na wala sio wakenya wala wakongo ,na wana haki sawa kabisa kama wale wanao andamana na T-Shirt za SAMIA kila siku mabarabara mara wakiwa na Jokate, mara wakiwa na Nchimbi

Wana haki sawa kabisa maana nao ni hawa hawa Watanganyika siasa inahitaji sana uvumilivu na kuvumiliana na wanawake huwa hawana moyo huo.
Ulishawasikia wakisema watakinukisha? Hebu tumia angalau asilimia chache ya hayo matope humo kichwani mwako mwenyewe unaita eti ubongo!!
 
Back
Top Bottom