Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

milele amina

JF-Expert Member
Aug 16, 2024
1,444
1,862
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Hamna kitu kinaitwa Tanganyika bwana!! Acheni kukaririshwa na wanaharakati uchwara
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Tuilatae CCM.
 
1725434855515.jpeg
 
Sheria zipi? Mbona kule kwao hatupo,wanaishi,kwetu unasema Sheria za nchi?
Sasa hapa si shuleni,rudi ukajifunze! tambua wazanzibar hawakuja wakatuteka tu kama unavyoona...ni sisi ndo tumeweka taratibu zoote hizo...na kuwakaribisha hapa ...so usiwe mtu wa lawama hovyo kwa mambo tuliofanya wenyewe tena tukayawekea na sheria. kwanza ni aibu nchi yenye watu mil 55+ kusema tumetekwa na watu below ...1mil
 
Sasa hapa si shuleni,rudi ukajifunze! tambua wazanzibar hawakuja wakatuteka tu kama unavyoona...ni sisi ndo tumeweka taratibu zoote hizo...na kuwakaribisha hapa ...so usiwe mtu wa lawama hovyo kwa mambo tuliofanya wenyewe tena tukayawekea na sheria. kwanza ni aibu nchi yenye watu mil 55+ kusema tumetekwa na watu below ...1mil
Soma # 11 hapo juu
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Mtoa mada Acha kuandika vitu vya kishoga Bora ukae kimya kuleta kauli za chuki na ubaguzi wa wazi. Pambana na maisha
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Tuseme ukweli
1. Brain wash - hawa walishaoshwa zamani na ccm. 2. Dini- hawa siyo wote kuna wale wanaojitambua kama waTanganyika. Ila kuna wale ambao wanaacha kila kitu kwa udini hata haki zao hawaangalii. 3. Maslahi binafsi- hawa matepeli mafisadi kama Mwigulu, Majaliwa, Mchengelwa, IGP etc hawa wanaweza kudanganya au kuiba au uchawa au kuua kwa maslahi binafsi.

Kuna watu genuine - Kama Nchimbi, Lisu- they speak from their/ hearts
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom