Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 794
- 1,676
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Stephen Wasira, ameikaribisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA katika uchaguzi lakini ameipa angalizo kuwa isitatarajie kuambulia chochote katika nafasi ya urais.
Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Wasira ameyasema hayo jana Januari 30, 2025, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Bunda mjini.
Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Wasira ameyasema hayo jana Januari 30, 2025, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Bunda mjini.