Wewe kwenye kazi yako umeshastaafu?Salaam!
Ushauri kwa wale wanaojiita ma-regendary wa bongo wakuu ukweli huu hamtaupata popote na auonaye amwambie mwenzie ,wakuu Game ya bongo ya Muziki na hata sanaa zingine sio kazi au biashara ya kudumu ,mtawafariji ooh mbona wa ulaya mpaka leo wanapiga show ,wakuu hilo game la ulaya leo hii hapa bongo huwe andaa tamasha la Prof J,mr 2, J Nature eti sisi mashabiki wao enzi hizo tukajae ukumbini wengi wetu tuko na familia ,tumetingwa na kazi na biashara huo muda wa kwenda Diamond jubiree haupo.
Nimesikiliza sana intervie za dudubaya,dullysykes ,TID ,PROF J yaani wanaongea kama bado wanayo nafasi aliyonayo leo mbosso kuwa vibao vikali vinakuja TMK et nao wanazungumzia kupata manager ,nani tena anasikiliza nyimbo zao?
Malegend mkubali zama zenu zimepita kwa sasa pambaneni na maisha mengine ,oneni mtu kama mwana fa au ay tukiachana na lile zali la kesi ila kitambo walijikita biashara zingine ,ila ukiona anahojiwa inspector haroon yaani ni kama ana ndoto kuwa iko siku atajaza ukumbi,mashabiki unaoona wanajaa show za alikiba na Diamondi age yao ni 14 hadi 25 kuanzia 26 kijana anakuwa kabanwa na makodi ya nyumba stress za waliyezaa naye ,ndoa,na kwa wadada zetu 26 anakuwa aidha busy na biashara familia yake au mdangaji wa kuvizia wazee huo muda wa kwenda show anatoa wapi.
Wakuu malegend tunawapenda ila kuweni kama nooray aka baba staz alijisoma mapema yuko busy na kuuza spea na anaendelea vyema kabisa .au wote mtaishia kama chidi benzi mpaka leo analalamika anataka collable ya Diamond wakati style zao zimeshakufa na mashabiki wao halisi sisi ambao saivi natype nikiwa na mtoto anaumwa nimemuacha wodin huo muda wa kwenda show ya alichoki nautoa wapi .
Hapo kwenye mdangaji wa kuvizia wazee😅😅Salaam!
Ushauri kwa wale wanaojiita ma-regendary wa bongo wakuu ukweli huu hamtaupata popote na auonaye amwambie mwenzie ,wakuu Game ya bongo ya Muziki na hata sanaa zingine sio kazi au biashara ya kudumu ,mtawafariji ooh mbona wa ulaya mpaka leo wanapiga show ,wakuu hilo game la ulaya leo hii hapa bongo huwe andaa tamasha la Prof J,mr 2, J Nature eti sisi mashabiki wao enzi hizo tukajae ukumbini wengi wetu tuko na familia ,tumetingwa na kazi na biashara huo muda wa kwenda Diamond jubiree haupo.
Nimesikiliza sana intervie za dudubaya,dullysykes ,TID ,PROF J yaani wanaongea kama bado wanayo nafasi aliyonayo leo mbosso kuwa vibao vikali vinakuja TMK et nao wanazungumzia kupata manager ,nani tena anasikiliza nyimbo zao?
Malegend mkubali zama zenu zimepita kwa sasa pambaneni na maisha mengine ,oneni mtu kama mwana fa au ay tukiachana na lile zali la kesi ila kitambo walijikita biashara zingine ,ila ukiona anahojiwa inspector haroon yaani ni kama ana ndoto kuwa iko siku atajaza ukumbi,mashabiki unaoona wanajaa show za alikiba na Diamondi age yao ni 14 hadi 25 kuanzia 26 kijana anakuwa kabanwa na makodi ya nyumba stress za waliyezaa naye ,ndoa,na kwa wadada zetu 26 anakuwa aidha busy na biashara familia yake au mdangaji wa kuvizia wazee huo muda wa kwenda show anatoa wapi.
Wakuu malegend tunawapenda ila kuweni kama nooray aka baba staz alijisoma mapema yuko busy na kuuza spea na anaendelea vyema kabisa .au wote mtaishia kama chidi benzi mpaka leo analalamika anataka collable ya Diamond wakati style zao zimeshakufa na mashabiki wao halisi sisi ambao saivi natype nikiwa na mtoto anaumwa nimemuacha wodin huo muda wa kwenda show ya alichoki nautoa wapi .
Hata huko siasani wengi wao hawalipiWengi wanavizia siasa baada ya mziki
Mandojo alikuwa anasimulia kuwa Enzi zao walihendekeza starehe sana.Pesa walipata, umaarufu walipata ila ndio hivyo wakashindwa kubadirika kulingana mahitaji ya wahitaji na yao.
Huoni AY na lile kundi lake la mchongo la Samia Kings anavizia vizia teuzi za KICHAWAHata huko siasani wengi wao hawalipi
Siasa za bongo uwe na timing, hao kina AY sidhani kama watalamba teuzi yoyote zaidi ya kula hela za mama.Huoni AY na lile kundi lake la mchongo la Samia Kings anavizia vizia teuzi za KICHAWA
Wanajaza pesa za kufanyia anasa kwenye buti la gariMandojo alikuwa anasimulia kuwa Enzi zao walihendekeza starehe sana.
Gono limepanda kichwani kijanaMm sio mwalimu .ushawashauri hilo madaktar kabla hawajakupima tezi dume