Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,780
- 8,358
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Wasabato duniani mnaweza kutupa ushahidi au dalili kimaandiko kuthibitisha kuwa Mama Ellen G White ndiye Nabii wa mwisho duniani?
Je ni kweli kuwa baada ya Ellen G white hakutakuwa na manabii wengine na hata wakitokea watahesabika kuwa ni waongo?
Je ni kweli pazia la Unabii ulimwenguni limefungwa baada ya kuzaliwa na kisha kufa mama White ambaye kwenu ni Nabii?
Niwatakie siku njema
Matendo ya Mitume 2:17:
"Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto"
Ndugu zangu Wasabato duniani mnaweza kutupa ushahidi au dalili kimaandiko kuthibitisha kuwa Mama Ellen G White ndiye Nabii wa mwisho duniani?
Je ni kweli kuwa baada ya Ellen G white hakutakuwa na manabii wengine na hata wakitokea watahesabika kuwa ni waongo?
Je ni kweli pazia la Unabii ulimwenguni limefungwa baada ya kuzaliwa na kisha kufa mama White ambaye kwenu ni Nabii?
Niwatakie siku njema
Matendo ya Mitume 2:17:
"Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto"