gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Nishatoa taarifa kwa mwenyekiti wa mtaa ila sijui manake penye rupia panakuwaga na hila na fitina nyingi sana.Hii nchi bana!Cheki na Nemc mkuu
Huna ishu wewe umevurugwa naishi porini mie fisi wee kichaa nini? mawe yako porini acha ulofa.Umbea mtupu. Unaishi maporini halafu unakuja kulalamika. Ni Mtanzania ameshawahi kusikia anachoongea huyu mleta mada humu!!??? Eti "War Zone"!!!
Kuna sehemu gani za makazi Dar es salaam au Mkoa wowote watu wanapiga hizo unazoziita baruti za "War Zone" mitaani!!!??? Unapewa ushauri wa kutoa taarifa kwa vyombo husika, unakuja na hoja ya penyeza Rupia. Kama sio ushambenga ni nini Nyamafu wee!!!Huna ishu wewe umevurugwa naishi porini mie fisi wee kichaa nini? mawe yako porini acha ulofa.
Teh!Teh!Teh! Mi ndo nimeleta taarifa ya huo utaratibu ambao si wa kawaida nashangaa unaleta u much know!Haloo!Hekaheka ukistaajabu ya musa huyajui ya firauni anyway u are still a loser!Punk!Kuna sehemu gani za makazi Dar es salaam au Mkoa wowote watu wanapiga hizo unazoziita baruti za "War Zone" mitaani!!!??? Unapewa ushauri wa kutoa taarifa kwa vyombo husika, unakuja na hoja ya penyeza Rupia. Kama sio ushambenga ni nini Nyamafu wee!!!
Haya sasa mwanaume mzima na familia bado unatumia neno "Hallooo" seriously!!!!!!!! Daaah..I rest my case.Teh!Teh!Teh! Mi ndo nimeleta taarifa ya huo utaratibu ambao si wa kawaida nashangaa unaleta u much know!Haloo!Hekaheka ukistaajabu ya musa huyajui ya firauni anyway u are still a loser!Punk!
Ishhh!Hivi wewe una matatizo gani?Sio bure ndo maana wanakupa ya nguoni.Haya sasa mwanaume mzima na familia bado unatumia neno "Hallooo" seriously!!!!!!!! Daaah..I rest my case.