Ndio chama cha machafuko kinadanganya Watanzania?Watu wangi wamejitokeza kupiga kura mara tu baada ya vituo kufunguliwa haijulikani ni saa ngapi walivamia kituo na kukisambaratisha wasimamizi walitokea na madirishani na kutoka baru huku waakifukuzwa kama wezi wakiwacha masanduku na makaratasi ya kupigia kura na vifaa vingine ,haijajulikana mara moja kilichopelekea wapiga kura hao waliojitokeza kwa maelfu kilichowafanya wafanye hivyo.hali hio imetokea kila sehemu kama inaonyesha kuliwashwa switch na taa kuwaka.
Walinzi waliokuwa wakilinda vituo hivyo kwa ajili ya kuhakikisha usalama unakuwepo walisikika wakisema si wamejitakia wenyewe hatuwezi kupiga wala kutumia silaha maana wananchi waliokuja kupiga kura wote wanaonekana wapo pamoja na hakuna mapigano zaidi ya tunachokiona kuwa wanaingia ndani wakiwa na lengo moja kama kungekuwa na makundi mawili tungeweza kuingilia kati na kutuliza ila kwa hili labda wanapigania haki yao,walisikika walinzi hao waliokuwa wamejitenga na kuonekana kuhofia usalama wao kama wangejaribu kutokeza pua.Ndio chama cha machafuko kinadanganya Watanzania?
Ndiyo njia yenu ya upashanaji habari? mkalete za kuleta mmufahamu Maghufuli in naniWatu wangi wamejitokeza kupiga kura mara tu baada ya vituo kufunguliwa haijulikani ni saa ngapi walivamia kituo na kukisambaratisha wasimamizi walitokea na madirishani na kutoka baru huku waakifukuzwa kama wezi wakiwacha masanduku na makaratasi ya kupigia kura na vifaa vingine ,haijajulikana mara moja kilichopelekea wapiga kura hao waliojitokeza kwa maelfu kilichowafanya wafanye hivyo.hali hio imetokea kila sehemu kama inaonyesha kuliwashwa switch na taa kuwaka.
Ndiyo njia yenu ya upashanaji habari? mkalete za kuleta mmufahamu Maghufuli in nani
Ndugu kwanza nataka au napenda ufahamu Magufuli ni binadamu kama binadamu mwengine ,akiheshimu wananchi nae ataheshimiwa na asipoheshimu wakuonewa huruma kama nyie ndio mtahemewa ,ila rijali wa kweli basi hatokubali kumuogopa yeyote anaemvunjia heshima ,sijui unanielewa ,kuogopana ndio kumeifikisha Tz hapa ilipo ,magufuli kwa nimuonavyo anaheshimu na ndio maana haogopi anapochukua maamuzi na maamuzi yake yanakubalika ,sasa ikitokea akavunjia watu heshima hana nidhamu basi ujuwe watu nao watamuondolea uvivu na kama ana jeshi polisi usalama ,wote alio nao nahisi nao wana akili ya kupima ,ule wakati wa kuwafunga kamba za pua kama ng'ombe vyombo hivyo unaelekea mwisho,palipo bakia ni padogo sana ,Ndiyo njia yenu ya upashanaji habari? mkalete za kuleta mmufahamu Maghufuli in nani
Pumbavu wewe...Ole wako na hao wenzako.Walinzi waliokuwa wakilinda vituo hivyo kwa ajili ya kuhakikisha usalama unakuwepo walisikika wakisema si wamejitakia wenyewe hatuwezi kupiga wala kutumia silaha maana wananchi waliokuja kupiga kura wote wanaonekana wapo pamoja na hakuna mapigano zaidi ya tunachokiona kuwa wanaingia ndani wakiwa na lengo moja kama kungekuwa na makundi mawili tungeweza kuingilia kati na kutuliza ila kwa hili labda wanapigania haki yao,walisikika walinzi hao waliokuwa wamejitenga na kuonekana kuhofia usalama wao kama wangejaribu kutokeza pua.
Hata unayempigania mwenyewe muoga, kalamba m350 kakimbilia ughaibuni akijifanya anaumwa, kakuacha wewe ufanye vituko ulambe virungu yeye hutamuona mpaka uchaguzi upite. kama amekukatia uifanye hii kazi jua kakuachia upate majeraha baadaye aje kulilia watu wake hali kuwa yeye yu salama. kama wewe si mwoga ungoza huo ujinga siku hiyo uone cha moto wenzio waje wale ulojo kuomboleza nundu zako. wala hutakuwa shahidi wa uhanga ila hasara kwa kizazi chako.Ndugu kwanza nataka au napenda ufahamu Magufuli ni binadamu kama binadamu mwengine ,akiheshimu wananchi nae ataheshimiwa na asipoheshimu wakuonewa huruma kama nyie ndio mtahemewa ,ila rijali wa kweli basi hatokubali kumuogopa yeyote anaemvunjia heshima ,sijui unanielewa ,kuogopana ndio kumeifikisha Tz hapa ilipo ,magufuli kwa nimuonavyo anaheshimu na ndio maana haogopi anapochukua maamuzi na maamuzi yake yanakubalika ,sasa ikitokea akavunjia watu heshima hana nidhamu basi ujuwe watu nao watamuondolea uvivu na kama ana jeshi polisi usalama ,wote alio nao nahisi nao wana akili ya kupima ,ule wakati wa kuwafunga kamba za pua kama ng'ombe vyombo hivyo unaelekea mwisho,palipo bakia ni padogo sana ,
Ndani ya bunge la leo idadi ya wabunge wa ccm sio sawa na ile ya wakati wa baba waTaifa,wala wakati wa mwinyi wala Nkapa wala Kikwete na kwa mtiririko huo ,unaweza kupima na kupata rate ni jinsi gani CCM inadidimia kiasi ya kufika sasa kutangaza kuwa hawakubali kushindwa katika chaguzi na wapo tayari kuuwa ,dalili hio ni dalili ya kushindwa nasi wananchi tukisikia kauli hizo basi ndio jazba hupanda na uhakika wetu kuwa CCM inaanguka inazidi.
Watu wangi wamejitokeza kupiga kura mara tu baada ya vituo kufunguliwa haijulikani ni saa ngapi walivamia kituo na kukisambaratisha wasimamizi walitokea na madirishani na kutoka baru huku waakifukuzwa kama wezi wakiwacha masanduku na makaratasi ya kupigia kura na vifaa vingine ,haijajulikana mara moja kilichopelekea wapiga kura hao waliojitokeza kwa maelfu kilichowafanya wafanye hivyo.hali hio imetokea kila sehemu kama inaonyesha kuliwashwa switch na taa kuwaka.[/QUOa]kumbe hiki ndicho mlichopanga?!, sasa mbona umetoa siri, ungesubiri siku ya siku kisha mkafanya kweli, sasa maadam siri hii imefichuka, hili halitatokea, pangeni mipango mingine, au hata ikibidi waandaeni wale martyr kwenye zile safari za martyrdom.
P
Wala asikudanganye mtu MWIBA huyo mleta maada kaandika akiwa kakolea viroba kichwani.mada kama hii inaonyesha jinsi vijana walivyoathirika na madhara ya kufugwa kisiasa.