Wanawake wengi wanapenda Kuzaa watoto wengi. Mwanaume ni uamzi wako tu.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
24,254
44,113
Yaani wewe ukiwa mwanaume kwenye ndoa wewe ndio mwamzi, uzaw wawili, watatu au Sita.

Lakini kwa Upande wa Mwanamke kipaumbele chake ni watoto wengi tena wakutosha. Na ikiwa una kipato kizuri Mwanaume acha kujibana bana. Kuzaa kunazeesha wasio na hela.

Hata Ulaya ukipost Picha ya Mwanamke mwenye watoto Kuanzia wanne hadi sita huku akiwa na Mume wake pembeni utaona Social Media zote zina muadmire na kwa wanawake wanatamani huyo Mwanaume angekuwa wake.

Kwanza ktk Instinct za Wanawake wanaamini Mwanaume anayezaa sana ni Mtu aliyeko tayari kubeba wajibu. Ni mwajibikaji hata kama baadae mambo yanaweza kuwa kinyume.

Pamoja na kwamba kwa nyakati za sasa kuzaa watoto wengi kunaweza kuwa na changa moto za kuwatimizia mahitaji kama malazi, shule, chakula na afya lakini ukizaa wengi ni faida sana.

Professa mmoja wa chuo kikuu maarufu nilikutana naye tukawa tunaongelea maswala ya Kifamilia. Aliniambua alizaa watoto wawili na mmoja amefariki. Kwa hiyo kabaki na mmoja. Mke wa Prof hazai tena sababu ya umri. Prof ana mali nyingi, majumba, magari na ardhi za kutosha.

Anatamani awe na watoto wengi wafaidi ngugu yake aliyopambania ktk kipindi chote cha ujana wake.

Ewe mwanaume usiogope kuzaa kama una kipato.

Mzee mmoja tajiri hapo Serengeti alizaa watoto wawili, wa kike na kiume.

Huyu wa kiume sio shoga lakini anakula mashoga balaa kiufupi na yeye ni shoga. Yule wa kike ni mzuri sana. Hajaolewa analiwa ba vibabu kuanzia vyenye miaka 60 kwenda mbele as long as vina hela ya kumwaga. Yaani maisha vululuvululu.
 
Yaani wewe ukiwa mwanaume kwenye ndoa wewe ndio mwamzi, uzaw wawili, watatu au Sita.

Lakini kwa Upande wa Mwanamke kipaumbele chake ni watoto wengi tena wakutosha. Na ikiwa una kipato kizuri Mwanaume acha kujibana bana. Kuzaa kunazeesha wasio na hela.

Hata Ulaya ukipost Picha ya Mwanamke mwenye watoto Kuanzia wanne hadi sita huku akiwa na Mume wake pembeni utaona Social Media zote zina muadmire na kwa wanawake wanatamani huyo Mwanaume angekuwa wake.

Kwanza ktk Instinct za Wanawake wanaamini Mwanaume anayezaa sana ni Mtu aliyeko tayari kubeba wajibu. Ni mwajibikaji hata kama baadae mambo yanaweza kuwa kinyume.

Pamoja na kwamba kwa nyakati za sasa kuzaa watoto wengi kunaweza kuwa na changa moto za kuwatimizia mahitaji kama malazi, shule, chakula na afya lakini ukizaa wengi ni faida sana.

Professa mmoja wa chuo kikuu maarufu nilikutana naye tukawa tunaongelea maswala ya Kifamilia. Aliniambua alizaa watoto wawili na mmoja amefariki. Kwa hiyo kabaki na mmoja. Mke wa Prof hazai tena sababu ya umri. Prof ana mali nyingi, majumba, magari na ardhi za kutosha.

Anatamani awe na watoto wengi wafaidi ngugu yake aliyopambania ktk kipindi chote cha ujana wake.

Ewe mwanaume usiogope kuzaa kama una kipato.

Mzee mmoja tajiri hapo Serengeti alizaa watoto wawili, wa kike na kiume.

Huyu wa kiume sio shoga lakini anakula mashoga balaa kiufupi na yeye ni shoga. Yule wa kike ni mzuri sana. Hajaolewa analiwa ba vibabu kuanzia vyenye miaka 60 kwenda mbele as long as vina hela ya kumwaga. Yaani maisha vululuvululu.
Ukizaa wengi unapata heshima
 
Na watoto wachache wanakuwa wapweke.
Jamaa yangu (binti) walizakuwa 2, wazazi wao wamefariki miaka ya 2000 mwanzoni; dada yake akiwa na mtoto amefariki miaka 3 iliyopita kwenye ajali Tanga. Ndg wengine (wajomba, mama wadogo n.k) nao wameshafariki. Amebaki peke yake mkiwa.

Kuna mama mmoja anapeleka kustaafu alizaa watoto 2 (je + me); me amevurugwa na maisha anavuta tu bangi na makesi ; ke ndio anselekea kuhitimu masomo. Mama anajuta kwa kuwa hana machaguo ya kumfariji.

Kuna familia moja walizakuwa 3; mmoja akajinyonga, mwingine akagongwa na gari akafariki. Amebaki mdogo wa mwisho, hana wazazi wala ndg wa karibu (wote wamefariki).

Kwetu tupo kikundi; wazazi wanajichagulia wa kuongea nao kadiri ya mahitaji yao: ushauri, fedha, stori na kuchati. Akitokea msumbufu wanamkabidhi kwa kaka kiongozi ansmnyoosha; kaka ni mtata kwelikweli. Yaani bora kugombaba na baba, sio kaka
 
Naunga mkono hoja.Mimi wanandugu walikuwa wananihimiza sana nifyatue tu eti ukoo wetu mdogo .Na huyu mama Bae hana shida kabisa.Tatizo huyu mmoja tu ananitoa mvi hii Mission ishakuwa impossible.Huyu huyu atosha siongezi mimi.
 
Yaani wewe ukiwa mwanaume kwenye ndoa wewe ndio mwamzi, uzaw wawili, watatu au Sita.

Lakini kwa Upande wa Mwanamke kipaumbele chake ni watoto wengi tena wakutosha. Na ikiwa una kipato kizuri Mwanaume acha kujibana bana. Kuzaa kunazeesha wasio na hela.

Hata Ulaya ukipost Picha ya Mwanamke mwenye watoto Kuanzia wanne hadi sita huku akiwa na Mume wake pembeni utaona Social Media zote zina muadmire na kwa wanawake wanatamani huyo Mwanaume angekuwa wake.

Kwanza ktk Instinct za Wanawake wanaamini Mwanaume anayezaa sana ni Mtu aliyeko tayari kubeba wajibu. Ni mwajibikaji hata kama baadae mambo yanaweza kuwa kinyume.

Pamoja na kwamba kwa nyakati za sasa kuzaa watoto wengi kunaweza kuwa na changa moto za kuwatimizia mahitaji kama malazi, shule, chakula na afya lakini ukizaa wengi ni faida sana.

Professa mmoja wa chuo kikuu maarufu nilikutana naye tukawa tunaongelea maswala ya Kifamilia. Aliniambua alizaa watoto wawili na mmoja amefariki. Kwa hiyo kabaki na mmoja. Mke wa Prof hazai tena sababu ya umri. Prof ana mali nyingi, majumba, magari na ardhi za kutosha.

Anatamani awe na watoto wengi wafaidi ngugu yake aliyopambania ktk kipindi chote cha ujana wake.

Ewe mwanaume usiogope kuzaa kama una kipato.

Mzee mmoja tajiri hapo Serengeti alizaa watoto wawili, wa kike na kiume.

Huyu wa kiume sio shoga lakini anakula mashoga balaa kiufupi na yeye ni shoga. Yule wa kike ni mzuri sana. Hajaolewa analiwa ba vibabu kuanzia vyenye miaka 60 kwenda mbele as long as vina hela ya kumwaga. Yaani maisha vululuvululu.
Cc
Zari the boss lady.
 
Ni rahisi kuzaa watoto wengi kama utafunga ndoa wote mke na mume mkiwa wadogo wadogo kiumri

Option ya pili mwanaume uoe mwanamke mdogo awe kama na miaka 20 hivi. Na wewe uwe hujazidi miaka 35.

Yaani mke awe kwenye umri wa quality eggs, na mwanaume uwe kwenye umri wa quality sperms.

Nje ya hapo ni ngumu sana. Hasa siku hizi wanawake wanaolewa wakiwa na 30 yrs and above
 
Back
Top Bottom