Wanawake Wafupi ni wakorofi

Muuza simu used

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
4,393
7,061
Wanawake wafupi hawajawahi kumwacha mwanaume salama!japokuwa asilimia kubwa wanajua kupenda ila changamoto zao ni kubwa mno kukabiliana nazo ni wagomvi sana ss sijui huwa hawajiamini au vp!nina mchumba(mfupi) kila nikitaka kumuoa roho inasita sasa tupo kwenye uchumba sugu for 7 years!wanawake wafupi please punguzeni wivu watu tunashindwa kutangaza ndoa
 
Wanawake wafupi hawajawahi kumwacha mwanaume salama!japokuwa asilimia kubwa wanajua kupenda ila changamoto zao ni kubwa mno kukabiliana nazo ni wagomvi sana ss sijui huwa hawajiamini au vp!nina mchumba(mfupi) kila nikitaka kumuoa roho inasita sasa tupo kwenye uchumba sugu for 7 years!wanawake wafupi please punguzeni wivu watu tunashindwa kutangaza ndoa
Khaaa...

Naona kama unawapakazia... mbona sioni kama huyu ni mkorofi?
f08527b6-71df-4071-b1af-8e1ef930e57c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom