Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Professor jizee kiukweli amepata mke bora na mwema sana aisee na mvumilivu aisee professor jizee pongezi zote amepeleka kwa mke wake na sijui amefanyeje kumpata yule mke wake na sikutegemea mke wake atakuwa vile lakini ndiyo imekuwa hivyo na wish siku nimfuate professor j nimuulize mke wake amempataje?
Kupitia interview ya Millard Ayo anamsifia mke wake mpka nikaona wivu wengine wanawapa wapi? Wake zao? Ingekuwa hawa akina Rashida,mwamtumu,mwajuma, Rachel n.k wa buza kwa rulenge,kwa mpalange,yombo na sehemu zingine wangekuwa wameshamkimbia tayari hawa wengine wapo after money Tu
Na nimekuja kugundua wanawake wanaotoka familia masikini ndiyo wasumbufu na wenye tamaa tamaa ambao mwanaume akiwa na matatizo tu wanamkimbia,wanawake wa uswahili ni watu wenye tamaa tamaa tu msioe wanawake wanaotoka familia masikini mtakuja kujuta Aisee
Mungu nijaalie nimpate mke bora kama wa profesa Jizee! insha'Allah.
Kupitia interview ya Millard Ayo anamsifia mke wake mpka nikaona wivu wengine wanawapa wapi? Wake zao? Ingekuwa hawa akina Rashida,mwamtumu,mwajuma, Rachel n.k wa buza kwa rulenge,kwa mpalange,yombo na sehemu zingine wangekuwa wameshamkimbia tayari hawa wengine wapo after money Tu
Na nimekuja kugundua wanawake wanaotoka familia masikini ndiyo wasumbufu na wenye tamaa tamaa ambao mwanaume akiwa na matatizo tu wanamkimbia,wanawake wa uswahili ni watu wenye tamaa tamaa tu msioe wanawake wanaotoka familia masikini mtakuja kujuta Aisee
Mungu nijaalie nimpate mke bora kama wa profesa Jizee! insha'Allah.