Wanaume wa mikoani hawa wanawaza kulelewa tu.

aliyeandika huu ujumbe atakuwa mwanamke aliyekosa mwanaume wa dizaini hii. Anajipa matumaini
 
Wanaume wajinga wanadhani uanaume ni kuwa na kifua kipana,
Lkn wanaume halisi wanajua uanaume halisi ni nn
 
aliyeandika huu ujumbe atakuwa mwanamke aliyekosa mwanaume wa dizaini hii. Anajipa matumaini
Na siku hizi wanaume wa JF mnajipachika uke wa mtandaoni, mnapost thread za kipuuzi za kila aina ili kuchafua wanawake, Mnahangaika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…