Wanaume nchini kuvalia njuga suala la binti wa Yombo ni sababu imehusisha 'mchepuko'?

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
583
2,243
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
 
Ila ukishajiita au kuwa cute tayari Kuna vitu vinakuwa haviko sawa!jamii inapambana kuhakikisha Binti anakuwa salama we unakuja na gender
Lakini umekimbia kujibu swali muhimu la kwenye hoja, kwanini kesi hii nyingine ni full kukandia na kuuliza sababu as if kuna justifucation ya kufanya ukatili
 
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
Mwanamke mwenzako ndo kawatuma wale jamaa pengine kawalipa, unafikiri sisi wanaume tuna roho ngumu kama nyie?

Pia watuhumiwa mitafurahi walichukuliwa hatua kali.
 
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
Usichokijua ni kuwa hiyo ni vita ya Wananchi dhidi ya Polisi japo wengi hawalizungumzii hilo. Wananchi wengi ni kama wamechoshwa na vitendo vya uonevu kwa raia vinavyofanywa na vyombo vya usalama na ndosababu ikipatikana nafasi ya kutoa sumu zao wanatapika hasa.
 
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
Huna akili
 
Mwanamke mwenzako ndo kawatuma wale jamaa pengine kawalipa, unafikiri sisi wanaume tuna roho ngumu kama nyie?

Pia watuhumiwa mitafurahi walichukuliwa hatua kali.
Kama hamna roho ngumu mngekubali kumuingilia kabinti kadogo kama kale tena kwa mfululizo, naona unajisahaulisha wanaume huwa wanafanya nini wanaume wenzao wanaowakuta na wapenzi wao achilia mbali mke. Tena kaa kwa kutulia
 
Usichokijua ni kuwa hiyo ni vita ya Wananchi dhidi ya Polisi japo wengi hawalizungumzii hilo. Wananchi wengi ni kama wamechoshwa na vitendo vya uonevu kwa raia vinavyofanywa na vyombo vya usalama na ndosababu ikipatikana nafasi ya kutoa sumu zao wanatapika hasa.
Hapa umenena Mkuu, japokuwa kuna matukio mengi ya ukatili wa polisi yanaripotiwa lakini huoni wananchi kuwa na umoja hivi, mfano kwenye suala la Sativa.... au kukiwa na maslahi ya kichama sehemu wananchi hawezi kuongea lugha moja bila kujali nini kimefanyika?
 
🔹 Kesi bwana ni kitu ambacho huvuruga sio mtendwa tuu Bali mtenda pia

🔹 Kesi Ina stigma kubwa pale unapotafutwa kwa kutuhumiwa kadhalika Ina stigma kubwa kwa victim jamii inakuzonga zonga wskitaka kujua kulikoni wengine wanakushawishi uiache . Mapaparazi nao wanazuga linawaumiza kumbe wamepata fursa ya muuza headlines

🔹 Wanaharakati husaidia kuibua tuhuma zilizojificha na hupuliza filimbi kufanya Kila mtu asikie na inakuwa hivyo pale mwanaharakati husika anayetuhumiwa sii ndugu yake

🔹 Najiuliza ndugu wa hao vijana waliokengeuka na kufanya tukio la hovyo kiasi hicho wapo upande gani? Je! na wao walipambana na kutoa ushirikiano ili watuhumiwa wakamatwe?

🔹 Hutokea nini , pale watoto au ndugu wa Wanaharakati wanapituhumiwa na kesi kubwa kama hizi je na wao hutoka kwenye vyombo vya habari kushinikiza watoto wao wapendwa wakamatwe?
 
Kama hamna roho ngumu mngekubali kumuingilia kabinti kadogo kama kale tena kwa mfululizo, naona unajisahaulisha wanaume huwa wanafanya nini wanaume wenzao wanaowakuta na wapenzi wao achilia mbali mke. Tena kaa kwa kutulia
Hao Jamaa itakuwa bangi mtu sidhani kama wana akili timamu, na chanzo cha yote hayo ni mwanamke aliyewatuma. Sasa wanawake jinsi mlivyokuwa hamna akili, mume anachepuka, badala ushughulike na mumeo, unamtumia majambazi Binti mdogo kama vile ambaye pengine kadanganywa na mume kuwa mume hajaoa.
 
Hao Jamaa itakuwa bangi mtu sidhani kama wana akili timamu, na chanzo cha yote hayo ni mwanamke aliyewatuma. Sasa wanawake jinsi mlivyokuwa hamna akili, mume anachepuka, badala ushughulike na mumeo, unamtumia majambazi Binti mdogo kama vile ambaye pengine kadanganywa na mume kuwa mume hajaoa.
Sasa kwani ni wehu hawawezi kufanya maamuzi ya kukataa, yaani upelekeshwe tu kama ng'ombe?
 
🔹 Kesi bwana ni kitu ambacho huvuruga sio mtendwa tuu Bali mtenda pia

🔹 Kesi Ina stigma kubwa pale unapotafutwa kwa kutuhumiwa kadhalika Ina stigma kubwa kwa victim jamii inakuzonga zonga wskitaka kujua kulikoni wengine wanakushawishi uiache . Mapaparazi nao wanazuga linawaumiza kumbe wamepata fursa ya muuza headlines

🔹 Wanaharakati husaidia kuibua tuhuma zilizojificha na hupuliza filimbi kufanya Kila mtu asikie na inakuwa hivyo pale mwanaharakati husika anayetuhumiwa sii ndugu yake

🔹 Najiuliza ndugu wa hao vijana waliokengeuka na kufanya tukio la hovyo kiasi hicho wapo upande gani? Je! na wao walipambana na kutoa ushirikiano ili watuhumiwa wakamatwe?

🔹 Hutokea nini , pale watoto au ndugu wa Wanaharakati wanapituhumiwa na kesi kubwa kama hizi je na wao hutoka kwenye vyombo vya habari kushinikiza watoto wao wapendwa wakamatwe?
Msumeno unabidi ukate kotekote Mkuu, kukiwa na double standards hata kazi yao inakuwa haina maana.... kwa vijana hao waliotenda unyama huo wengi wanakuwa ni wale walioshindikana kwenye familia zao, hivyo hata wakipewa hukumu ya kunyonga ndio kwanza wanafamilia wanapumua wametua mzigo
 
Back
Top Bottom