Amocnolo
Member
- Oct 16, 2023
- 23
- 26
wanafamilia moja wamekuja kwangu wanataka wagawane mali walizochuma ndipo nikaomba kujua historian yao hadi kufikia hapo, ipo ivi.
Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni moja aliajiriwa, ilipofika 2019 alifukuzwa kazi na kipindi chote icho walikuwa kwenye mahusiano na huyo binti alikuwa mjamzito na anaishi kwao, huyu mwanaume alikuwa na akiba kidogo bank akachukua hiyo hakiba yake akanunua pikipiki ili kuendesha maisha hadi yule mwanamke akajifungua wakati huo mwanaume bado anasubiri peza zake za ppf,
2020 yule binti akajifungua mtoto wa kiume, akaamua kumchukua na kuishi nae lakini hakumuoa wakawa wanaishi tu, pesa za ppf zilipotoka yule mwanaume akaamua kununua uwanja na pikipiki nyingine, baadae akauza 1 akabakiwa na 1 2025 wakagombana na kila mtu akashika njia yake sasa mwanamke anataka wagawane mali yaani kiwanja na pikipiki sasa iyo imekaaje kisheria nisaidieni WANASHERIA.
Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni moja aliajiriwa, ilipofika 2019 alifukuzwa kazi na kipindi chote icho walikuwa kwenye mahusiano na huyo binti alikuwa mjamzito na anaishi kwao, huyu mwanaume alikuwa na akiba kidogo bank akachukua hiyo hakiba yake akanunua pikipiki ili kuendesha maisha hadi yule mwanamke akajifungua wakati huo mwanaume bado anasubiri peza zake za ppf,
2020 yule binti akajifungua mtoto wa kiume, akaamua kumchukua na kuishi nae lakini hakumuoa wakawa wanaishi tu, pesa za ppf zilipotoka yule mwanaume akaamua kununua uwanja na pikipiki nyingine, baadae akauza 1 akabakiwa na 1 2025 wakagombana na kila mtu akashika njia yake sasa mwanamke anataka wagawane mali yaani kiwanja na pikipiki sasa iyo imekaaje kisheria nisaidieni WANASHERIA.