KERO Wanaoboresha mifumo ya majitaka Mbezi Beach (Dar) wanaacha barabara zikiwa zimefumuliwa ovyo, mvua zinakuja tutatafutana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
562
1,312
Wakuu salam,

Sijui kwa maeneo mengine ila huku mitaa ya Mbezi Beach kwa Zena kuna maboresho ya mfumo ya maji taka ambayo yanafanywa kwa baadhi ya nyumba wanaotaka kuwekewa mfumo huo. Walianza kuweka chemba barabarani na sasa wanaunganisha mifumo hiyo.


Hapa ni kwa mara ya kwanza baada kuweka chemba, hata kushindilia hawakushindilia vizuri, mvua ilipiga, hali ndio ikawa kama mnavyoona hapo (Juni 2024).


Baada ya mvua kupita hali ilikuwa hivi, udongo ukaanza kutitita na chemba zinaanza kuchomoza


Hii ni baada ya kupiga kelele walikuja kushindilia udongo kama inavyoonekana. Kwakuwa ilifanywa kwa kulipulia kwa mara nyingine kadri magari yanavyopita ndivyo udongo unatitia na chemba hizo kuchomoza. Ukiangalia vizuri utaziona kwa mbali. (Julai 2024).


Hii ni Januari 2025, kama mnavyoona chemba zinazidi kuchomoza huku udongo unazidi kutitia, yaani toka Juni 2024 tunaongelea mambo yale yale, inafanyika quick fix ili wapate nafasi ya kuja kupiga hela tena
Sasa wameanza kuwaunganisha watu na mifumo hiyo, tatizo ni kwamba wakija kumuwekea mtu mfumo huo wanafumua njia kisawa sawa, wakishamaliza ndio wanaondoka, hivyo udongo ukiwa umeachwa utafikiri wameandaa shamba kwaajili ya kulima.

Sehemu nyingine ni katikati ya barabara, kutokana na uzembe huu unakuta udongo unakaa sehemu moja kadri magari yanavyopita na kuacha matenki hayo kuchomoza juu ya barabara, hali inayohatarisha usalama wa wapita njia hasa ikiwa unapishana na gari.


Hapa ni baadhi ya maeneo ambayo wanasubiri kuunganishwa na mfumo huo.


Ni hivi ndio inavyoonekana baada ya kuwa wamemaliza kumuunganishia mteja, ka-mvua kalikopita juzi ndio njia imebaki kuwa hivi. Hali iko hivi sehemu zote walikomaliza kuunganisha mifumo hii.

Walau wangekuwa wanamwaga kokoto na kuweka zege ingekuwa afadhali, yaani hapa tunaombea mvua isinyeshe udogo ukauke wenyewe, maana ni kama wametutelekeza. Adha itakuwa kubwa sana hasa kwa watembea kwa miguu na hata wenye magari ya chini kwa sehemu ambazo chemba ziko katikati ya barabara na udongo umetitia.

Dawasa Wizara ya Maji na mamlaka nyingine mnazoshirikiana kwenye mpango huu, niwaambie tu tutawakaba, maana mnafanya makusudi sababu mnaelewa hasara zote zinazotokana na haya mnayofanya lakini bado mnapuuzia.

Maboresho yafanyika, soma hapa ~
DAWASA na TARURA warekebisha barabara zilizoharibiwa kutokana na mifumo ya Majitaka Mitaa ya Mbezi Beach
 
Wakuu salam,

Sijui kwa maeneo mengine ila huku Mbezi Beach kwa Zena kuna maboresho ya mfumo ya maji taka ambayo yanafanywa kwa baadhi ya nyumba wanaotaka kuwekewa mfumo huo. Walianza kuweka chemba barabarani na sasa wanaunganisha mifumo hiyo.


View attachment 3227678

Hapa ni kwa mara ya kwanza baada kuweka chemba, hata kushindilia hawakushindilia vizuri, mvua ilipiga, hali ndio ikawa kama mnavyoona hapo (June 2024)

View attachment 3227680
Baada ya mvu kupita hali ilikuwa hivi, udongo ukaanza kutitita na chemba zinaanza kuchomoza

View attachment 3227578
Hii ni baada ya kupiga kelele walikuja kushindilia udongo kama inavyoonekana. Kwakuwa ilifanywa kwa kulipulia kwa mara nyingine kadri magari yanavyopita ndivyo udongo unatitia na chemba hizo kuchomoza. Ukiangalia vizuri utaziona kwa mbali. (July 2024)

View attachment 3227596
Hii ni Januari 2025, kama mnavyoona shemba zinazidi kuchomoza huku udongo unazidi kutitia, yaani toka June 2024 tunaongelea mambo yale yale, inafanyika quick fix ili wapate nafasi ya kuja kupiga hela tena
Sasa wameanza kuwaunganisha watu na mifumo hiyo, atazio ni kwamba wakija kumuwekea mtu mfumo huo wanafumua njia kisawa sawa, wakishamaliza ndio wanaondoka hivyo udongo ukiwa umeachwa utafikiri wameandaa shamba kwaajili ya kulima. Sehemu nyingine ni katikati ya bara, kutokana na uzembe huu unakuta udongo unakaa sehemu moja kadri magari yanavyopita na kuacha matenki hayo kuchomoza juu ya barabara, hali inayohatarisha usalama wa wapita njia hasa ikiwa unapishana na gari.

View attachment 3227577
Hapa ni baadhi ya maeneo ambayo wanasuburi kuunganishwa na mfumo huo


View attachment 3227576
Ni hivi ndio inavyoonekana baada ya kuwa wamemaliza kumuunganishia mteja, ka kalikopita juzi ndio njia imebaki kuwa hivi. Hali iko hivi sehemu zote walikomaliza kuunganisha mifumo hii.

Walau wangekuwa wanamwaga kokoto na kuweka zege ingekuwa afadhali, yaani hapa tunaombea mvua isinyeshe udogo ukauke wenyewe, maana ni kama wametutelekeza. Adha itakuwa kubwa sana hasa kwa watembea kwa miguu na hata wenye magari ya chini kwa sehemu ambazo chemba ziko katikati ya barabara na udongo umetitia.

Dawasa Wizara ya Maji na mamlaka nyingine mnazoshirikiana kwenye mpango huu, niwaambie tu tutawakaba, maana mnafanya makusudi sababu mnaelewa hasara zote zinazotokana na haya mnayofanya lakini bado mnapuuzia.

Hawa ndugu zetu huwa wanasolve tatizo kwa kutengeneza tatizo kubwa zaidi
 
Hawa sijui kwanini wanashindwa kumalizaga kazi zao.

Hivi huyo Awesso hayuko humu aje kutujibu
 
Ni changamoto sana, si hao tu, wote wanaofukua barabara kupitisha miundombinu mingine wawe wanajitahidi sana kurudisha barabara vizuri pindi wamalizapo ufukuaji wao, hasa sehemu njia zinazoingia kwenye nyumba za watu.
 
Wakuu salam,

Sijui kwa maeneo mengine ila huku Mbezi Beach kwa Zena kuna maboresho ya mfumo ya maji taka ambayo yanafanywa kwa baadhi ya nyumba wanaotaka kuwekewa mfumo huo. Walianza kuweka chemba barabarani na sasa wanaunganisha mifumo hiyo.


View attachment 3227678

Hapa ni kwa mara ya kwanza baada kuweka chemba, hata kushindilia hawakushindilia vizuri, mvua ilipiga, hali ndio ikawa kama mnavyoona hapo (June 2024)

View attachment 3227680
Baada ya mvu kupita hali ilikuwa hivi, udongo ukaanza kutitita na chemba zinaanza kuchomoza

View attachment 3227578
Hii ni baada ya kupiga kelele walikuja kushindilia udongo kama inavyoonekana. Kwakuwa ilifanywa kwa kulipulia kwa mara nyingine kadri magari yanavyopita ndivyo udongo unatitia na chemba hizo kuchomoza. Ukiangalia vizuri utaziona kwa mbali. (July 2024)

View attachment 3227596
Hii ni Januari 2025, kama mnavyoona shemba zinazidi kuchomoza huku udongo unazidi kutitia, yaani toka June 2024 tunaongelea mambo yale yale, inafanyika quick fix ili wapate nafasi ya kuja kupiga hela tena
Sasa wameanza kuwaunganisha watu na mifumo hiyo, atazio ni kwamba wakija kumuwekea mtu mfumo huo wanafumua njia kisawa sawa, wakishamaliza ndio wanaondoka hivyo udongo ukiwa umeachwa utafikiri wameandaa shamba kwaajili ya kulima. Sehemu nyingine ni katikati ya bara, kutokana na uzembe huu unakuta udongo unakaa sehemu moja kadri magari yanavyopita na kuacha matenki hayo kuchomoza juu ya barabara, hali inayohatarisha usalama wa wapita njia hasa ikiwa unapishana na gari.

View attachment 3227577
Hapa ni baadhi ya maeneo ambayo wanasuburi kuunganishwa na mfumo huo


View attachment 3227576
Ni hivi ndio inavyoonekana baada ya kuwa wamemaliza kumuunganishia mteja, ka kalikopita juzi ndio njia imebaki kuwa hivi. Hali iko hivi sehemu zote walikomaliza kuunganisha mifumo hii.

Walau wangekuwa wanamwaga kokoto na kuweka zege ingekuwa afadhali, yaani hapa tunaombea mvua isinyeshe udogo ukauke wenyewe, maana ni kama wametutelekeza. Adha itakuwa kubwa sana hasa kwa watembea kwa miguu na hata wenye magari ya chini kwa sehemu ambazo chemba ziko katikati ya barabara na udongo umetitia.

Dawasa Wizara ya Maji na mamlaka nyingine mnazoshirikiana kwenye mpango huu, niwaambie tu tutawakaba, maana mnafanya makusudi sababu mnaelewa hasara zote zinazotokana na haya mnayofanya lakini bado mnapuuzia.

kwa kweli hili suala linakera sana, vifusi vinajazwa hadi milangoni ama kwenye fremu za biashara halafu vinaachwa tu
 
Nimesikia wakimaliza kifuatacho ni kuweka lami ndo maana wanaacha hivyo
 
Nimesikia wakimaliza kifuatacho ni kuweka lami ndo maana wanaacha hivyo
Kwahiyo kabla hawajafika huko inabidi tuvumilie tu kutembea kwenye mashamba, mind you hii ni tokea mwaka jana May/June huko? Unaona kuna mwanga wa hayo kutokea? Yaani wasituwekee hata kokoto basi kuzuia udongo kutitia?
 
Naomba kuuliza, kwani hiyo miundo mbinu wanayoitengeneza, NI kwa ajili ya maji taka au kinyesi? Nilifika maeneo hayo, madongoni, maguruwe, chawucha aba, Rungwe, kijijini mpk huko kwa Zena. Nimeona kinachofanyika
 
Naomba kuuliza, kwani hiyo miundo mbinu wanayoitengeneza, NI kwa ajili ya maji taka au kinyesi? Nilifika maeneo hayo, madongoni, maguruwe, chawucha aba, Rungwe, kijijini mpk huko kwa Zena. Nimeona kinachofanyika
Ndio yanaitwa maji taka - yanayotoka chooni
 
aisee mna barabara nzuri namna hiyo na bado mnalalamika...Nenda katembee Kimara bonyokwa huko ukutane na barabara zenye mashimo mithili ya mahandaki
 
aisee mna barabara nzuri namna hiyo na bado mnalalamika...Nenda katembee Kimara bonyokwa huko ukutane na barabara zenye mashimo mithili ya mahandaki
Paza sauti Mkuu, weka hapa, huku wamekuja kusawazisha walau tupite vizuri, na hapo kulikokuwa na maji machafu pamefukiwa... mkikaa kimya mnaonekana mmeridhika, bika kuwasukuma kazi hazifanyiki
 
Back
Top Bottom