Wanadasalama hizi Travolta Shoes ,nazipataje ? Niko Mkoani.

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
24,464
73,224
IMG-20240627-WA0007.jpg

IMG-20240627-WA0013.jpg


NGOZI



IMG-20240627-WA0011.jpg


IMG-20240627-WA0009.jpg
 
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa.
Huyo mkaka alishindwa mwenyewe kujishindia biko.
 
Nina artificial tree ya cherry ndani
Imagine cherry tree ulivyo mzuri. Juzi kati nascroll nakutana nae anazungumzia kwamba ni mbaya kuweka ndani artificial trees.😂😂😂

Nimehuzunika
Ila Mungu ni zaidi ya manifestation bana
vingine unavipotezea wooii
 
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.

Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa.
Tuwekee hizo dress code
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom