Nashauri wamiliki wa magari madogo binafsi waunde muundo wa uongozi ili kufikisha kero zao kwa serikali!
Mathalani kero ya kodi ya maegesho (parking fees) Hii ni moja ya tozo ya kifedhuli ambayo hutozwa na TARURA/Manispaa kwa mmiliki pasipo sababu za msingi kwasababu!
Mtu ambaye amelipia ushuru wa manunuzi bandarini na kulipia road license katika kila rita moja ya mafuta!
Road license maana yake ni kibali cha kutumia barabara pamoja na kupark katika maegesho ya barabara!
Sasa unapomchaji mtu pesa ya parking mnataka watu gari wakapaki angani? Kwanini kuna dabo kodi kwenye chombo kimoja kwa majina tofauti?
Kwanza hata hayo maegesho mnapotoza hamkuyajenga nyinyi sasa kwanini mnaleta kero kama hizi kwa wamiliki wa magari binafsi?
Kama mnataka kupata pesa za maegesho kila manispaa ijenge Parking yard ili watu wakapark huko ndiko walipie?
Lakini hii tabia ya kuvizia watu walioegesha gari pembeni mwa barabara ni uchokoraa kwa mgongo wa kimamlaka!
Wenye magari madogo undeni uongozi wa kupeleka kero zenu wasipo wasikia mnagoma mnafunga njia!
Mathalani kero ya kodi ya maegesho (parking fees) Hii ni moja ya tozo ya kifedhuli ambayo hutozwa na TARURA/Manispaa kwa mmiliki pasipo sababu za msingi kwasababu!
Mtu ambaye amelipia ushuru wa manunuzi bandarini na kulipia road license katika kila rita moja ya mafuta!
Road license maana yake ni kibali cha kutumia barabara pamoja na kupark katika maegesho ya barabara!
Sasa unapomchaji mtu pesa ya parking mnataka watu gari wakapaki angani? Kwanini kuna dabo kodi kwenye chombo kimoja kwa majina tofauti?
Kwanza hata hayo maegesho mnapotoza hamkuyajenga nyinyi sasa kwanini mnaleta kero kama hizi kwa wamiliki wa magari binafsi?
Kama mnataka kupata pesa za maegesho kila manispaa ijenge Parking yard ili watu wakapark huko ndiko walipie?
Lakini hii tabia ya kuvizia watu walioegesha gari pembeni mwa barabara ni uchokoraa kwa mgongo wa kimamlaka!
Wenye magari madogo undeni uongozi wa kupeleka kero zenu wasipo wasikia mnagoma mnafunga njia!