Wamemnyamazisha Lissu ameibuka Askofu Gwajima, Naona CCM wakitwanga maji kwenye kinu

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
4,512
10,674
Udhalimu haujawahi kumwacha mtu salama nyakati za CCM kupata ushindi kwa njia za ujanja ujanja zipo ukingoni.

CCM wanadhani No reform No election ni agenda ya Lissu kumbe ni watanzania wote. Bila chadema kushiriki uchaguzi tutashuhudia aibu kubwa sana mwaka huu.

Kwa sasa namwona Askofu. Gwajima anavyokuja kasi, naona CCM wakihaha tena ukamataji wa. Lissu haujasaidia lolote na vuguvugu la mabadiliko ya sheria za uchaguzi.

Chadema haifi, Hata kwa tone tone mwitikio wake siyo wa kitoto watu wataibeba chadema mgongoni hadi mwisho maana wana imani kubwa sana na chama hiki.

CCM wasipokubali ukweli wataondolewa madarakani kwa aibu kubwa sana watajutia sarakasi zao za sasa

Ameni
 
Udhalimu haujawahi kumwacha mtu salama nyakati za CCM kupata ushindi kwa njia za ujanja ujanja zipo ukingoni.

CCM wanadhani No reform No election ni agenda ya Lissu kumbe ni watanzania wote. Bila chadema kushiriki uchaguzi tutashuhudia aibu kubwa sana mwaka huu.

Kwa sasa namwona Askofu. Gwajima anavyokuja kasi, naona CCM wakihaha tena ukamataji wa. Lissu haujasaidia lolote na vuguvugu la mabadiliko ya sheria za uchaguzi.

Chadema haifi, Hata kwa tone tone mwitikio wake siyo wa kitoto watu wataibeba chadema mgongoni hadi mwisho maana wana imani kubwa sana na chama hiki.

CCM wasipokubali ukweli wataondolewa madarakani kwa aibu kubwa sana watajutia sarakasi zao za sasa

Ameni
kibaka na tapeli wa kisiasa kupitia ukristo sio gentleman 🐒
 
Udhalimu haujawahi kumwacha mtu salama nyakati za CCM kupata ushindi kwa njia za ujanja ujanja zipo ukingoni.

CCM wanadhani No reform No election ni agenda ya Lissu kumbe ni watanzania wote. Bila chadema kushiriki uchaguzi tutashuhudia aibu kubwa sana mwaka huu.

Kwa sasa namwona Askofu. Gwajima anavyokuja kasi, naona CCM wakihaha tena ukamataji wa. Lissu haujasaidia lolote na vuguvugu la mabadiliko ya sheria za uchaguzi.

Chadema haifi, Hata kwa tone tone mwitikio wake siyo wa kitoto watu wataibeba chadema mgongoni hadi mwisho maana wana imani kubwa sana na chama hiki.

CCM wasipokubali ukweli wataondolewa madarakani kwa aibu kubwa sana watajutia sarakasi zao za sasa

Ameni
Hakika watajipigia wenyewe
 
Upupu uendelee kumwagwa mpaka waliokaa kwenye viti kabla ya kipenga kupulizwa wanyanyuke.
 
Watu wengi wanagombea uongozi kupitia CCM japo hawakubaliani na Sera za chama maana wanajua mfumo unawabeba na hata wakienda katika vyama vya upinzani kushinda ni vigumu.
Ni dhahiri kabisa kuwa baadhi ya wabunge na madiwani kupitia CCM hushinda nafasi zao kwa kutumia mbinu chafu.
Ila hofu yangu ni kuja kuwa na viongozi wasiokuwa na sifa. Maana sasa hivi watu wanajipitisha haswaa na kutoa ela kwa wajumbe ili wapite kwenye kura za maoni.
Inanitia mashaka pale nnapoona mtu anatoa rushwa ili achaguliwe kuongoza watu.
 
Udhalimu haujawahi kumwacha mtu salama nyakati za CCM kupata ushindi kwa njia za ujanja ujanja zipo ukingoni.

CCM wanadhani No reform No election ni agenda ya Lissu kumbe ni watanzania wote. Bila chadema kushiriki uchaguzi tutashuhudia aibu kubwa sana mwaka huu.

Kwa sasa namwona Askofu. Gwajima anavyokuja kasi, naona CCM wakihaha tena ukamataji wa. Lissu haujasaidia lolote na vuguvugu la mabadiliko ya sheria za uchaguzi.

Chadema haifi, Hata kwa tone tone mwitikio wake siyo wa kitoto watu wataibeba chadema mgongoni hadi mwisho maana wana imani kubwa sana na chama hiki.

CCM wasipokubali ukweli wataondolewa madarakani kwa aibu kubwa sana watajutia sarakasi zao za sasa

Ameni
Hadi Gwajima? 😆😆😆😆

Chakandumuzzzzzz
 
Matapeli wangepi mmewapa ubunge huko kama baba askofu ni tapeli?
sifahamu,
but kibaka na tapeli wa kisiasa ni pamoja na yule ambae ni jambazi wa kupora uhuru na haki za kikatiba kwa mfano kuwapotosha wasiende kupiga kura n.k🐒
 
Back
Top Bottom