Pre GE2025 Wamachinga na Waendesha Bodaboda waitisha press kupinga kutokea kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Wakuu,

Kuna watu wameenda kuitisha press kupinga ile kauli ya Heche kwamba watu waende mahakamani kushuhudia ksi ya Lissu Tarehe 24.

Hii nchi inahitaji ukombozi mkubwa sana wa kifikra. A total social autopsy is needed.

-----------------------------

Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali Dar es Salaam wametangaza kutoshiriki kwenye mkusanyiko wa CHADEMA Aprili 24, 2025, katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi ya Tundu Lissu inatarajiwa kusikilizwa.

Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025

Viongozi wa makundi hayo wamesema wataendelea na shughuli za kiuchumi na kupinga maandamano, wakisisitiza umuhimu wa amani na mshikamano.

 
Wakuu,

Kuna watu wameenda kuitisha press kupinga ile kauli ya Heche kwamba watu waende mahakamani kushuhudia ksi ya Lissu Tarehe 24.

Hii nchi inahitaji ukombozi mkubwa sana wa kifikra. A total social autopsy is needed.

-----------------------------

Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali Dar es Salaam wametangaza kutoshiriki kwenye mkusanyiko wa CHADEMA Aprili 24, 2025, katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi ya Tundu Lissu inatarajiwa kusikilizwa.

Viongozi wa makundi hayo wamesema wataendelea na shughuli za kiuchumi na kupinga maandamano, wakisisitiza umuhimu wa amani na mshikamano.

Hakuna aliyewaita bodaboda, wao wale hela ya waliowapa hela ya press, wanacdm ndio wataenda bila kujali wanafanya shughuli gani.
 
Wakuu,

Kuna watu wameenda kuitisha press kupinga ile kauli ya Heche kwamba watu waende mahakamani kushuhudia ksi ya Lissu Tarehe 24.

Hii nchi inahitaji ukombozi mkubwa sana wa kifikra. A total social autopsy is needed.

-----------------------------

Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali Dar es Salaam wametangaza kutoshiriki kwenye mkusanyiko wa CHADEMA Aprili 24, 2025, katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi ya Tundu Lissu inatarajiwa kusikilizwa.

Viongozi wa makundi hayo wamesema wataendelea na shughuli za kiuchumi na kupinga maandamano, wakisisitiza umuhimu wa amani na mshikamano.

Hahaha
 
Kilichotolewa ni wito, mwenye nafasi aende, asiye na nafasi aendelee na ratiba zake. Hakuna haja ya press. Ni vzr kuwa tunatengeneza uelewa kabla ya kujaribu hiki mnachokifanya, sasa kitalaumiwa chama chetu kwamba tumewatuma. Kwa sababu ni wito, usishangae kwenye mkusanyiko wakawepo hata wana ccm bila uniform cause kuna kujifunza pia na kujua mambo ya Sheria.
Kesi ya mbowe ilitunufaisha wengi sana, Mambo ya PGO nakadhalika....
 
Wakuu,

Kuna watu wameenda kuitisha press kupinga ile kauli ya Heche kwamba watu waende mahakamani kushuhudia ksi ya Lissu Tarehe 24.

Hii nchi inahitaji ukombozi mkubwa sana wa kifikra. A total social autopsy is needed.

-----------------------------

Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali Dar es Salaam wametangaza kutoshiriki kwenye mkusanyiko wa CHADEMA Aprili 24, 2025, katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi ya Tundu Lissu inatarajiwa kusikilizwa.

Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025

Viongozi wa makundi hayo wamesema wataendelea na shughuli za kiuchumi na kupinga maandamano, wakisisitiza umuhimu wa amani na mshikamano.

Kwani lini bodaboda waliitwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom