Kitendo cha kumtandika yule mama kimeonekana kweli kuwa ni ukatili sana, na kamwe haifai kuungwa mkono kwa vitendo vya namna hiyo!
..tatizo lipo bado kwa hawa wanaoamini hizi imani za kishirikina, kama maelezo yanavyusema kuwa alimuambia mama yake kuwa atamuua kwa uchawi bila shaka hiyo ndiyo iliyozua taharuki na hatimaye ikaamuriwa apigwe bakora!
Busara zaidi ingehitajika kutatua huo mgogoro, lakini pengine ilionekana huyo mama ni mtu hatari ikapelekea maamuzi kama hayo kutolewa!!