Walioanza kazi mwaka 2009 kuwa daraja sawa na wa 2003 si sawa, hamtakuwa mmewatendea haki

Mushkov

JF-Expert Member
Feb 16, 2024
357
685
Dalili zinaonesha kwamba, watumishi wa Umma walioanza kazi mwaka 2009 mwezi wanapanda daraja, hivyo watakuwa daraja moja na walioanza kazi miaka ya 2003. Hawa wote wana sifa moja.

Kama ni kweli ikatokea hivyo, mtakuwa mmewatendea nini hawa walioanza kazi miaka ya 2003?
Hatuoni kuwa tutasababisha kudharauliana katika vituo vya kazi?

Mimi nadhani walitakiwa wapandishwe/waserereshwe kwanza walioanza kazi miaka ya 2003 ndipo waje walioanza kazi mwaka 2009 au wangepandishwa daraja wote kwa pamoja ili kuepuka kuwakutanisha kimadaraja watu wenye sifa moja lakini walianza kazi kwa miaka tofauti.

Kama wote wanafanyiwa kazi basi itapendeza, kinyume na hapo italeta shida sana.
Nawasilisha.

OR TAMISEMI
 
Dalili zinaonesha kwamba, watumishi wa Umma walioanza kazi mwaka 2009 mwezi wanapanda daraja, hivyo watakuwa daraja moja na walioanza kazi miaka ya 2003. Hawa wote wana sifa moja.

Kama ni kweli ikatokea hivyo, mtakuwa mmewatendea nini hawa walioanza kazi miaka ya 2003?
Hatuoni kuwa tutasababisha kudharauliana katika vituo vya kazi?

Mimi nadhani walitakiwa wapandishwe/waserereshwe kwanza walioanza kazi miaka ya 2003 ndipo waje walioanza kazi mwaka 2009 au wangepandishwa daraja wote kwa pamoja ili kuepuka kuwakutanisha kimadaraja watu wenye sifa moja lakini walianza kazi kwa miaka tofauti.

Kama wote wanafanyiwa kazi basi itapendeza, kinyume na hapo italeta shida sana.
Nawasilisha.

OR TAMISEMI
weee hizo taarifa umezitoa wapi kiongoz?
 
Poleni walimu.sisi wakulima tunachanja mbuga tu Kwa kwenda mbele.hatuwazi madaraja ya vimishahara vya chai
 
Back
Top Bottom