MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 398
- 671
Walikale, ampapo kuna mgodi wa Alphamine wa Canada, na mingine ya wa Belgiji, tayari ipo mikononi mwa AFC/M23.
Hakukuwa na mapigano, kwa sababu toka juzi, wanajeshi wa FARDC na washilika wao, walianza safari ya kuelekea Kisangani, ambapo umbali ni kilomita mia nne na ushee.
Hakukuwa na mapigano, kwa sababu toka juzi, wanajeshi wa FARDC na washilika wao, walianza safari ya kuelekea Kisangani, ambapo umbali ni kilomita mia nne na ushee.