Wakuu wa Mikoa mingine kwenu huko hakuna dawa za Kulevya au......

kwa mfano Stephen Kebwe vita anayoiweza ni kupambana na wamama wauza ndizi na maembe pale stand ya Boma, Masika na maeneo ya Ahmadiyya... Hata vita ya kutupa maganda ya pipi hovyo haiwezi sembuse hiyo ya ngada..?
 
Kwani kuna hata mtu mmoja mpaka sasa aliekamatwa na hayo madawa kupitia operation hiyo ya Dar ama ni maigizo tu yanaendelea....
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda anawawakilisheni kwa ujumla wenu wote?
Wakuu wa mikoa wanaojua wajibu wao hawawezi kufanya komedi za MAKOMEDI. Wameamua kumwachia komedi zake akiona zinadoda atawashirikisha Ze komedi.
 
>> HII VITA inaanzia MIKOA iliyo FELISHA sana Kidato Cha NNE , Cha Pili na La SABA akimaliza makonda ATAKUJA wa MTWARA >>>
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…