Wameanua virago Tanzania? Mwenye kufahamu tafadhali. Hivi, hatma ya wateja wenye hela zao mwenye akaunti za michezo ya kubahatisha huwa ni ipi?
Yani hawaonekani popote dadeki, na kuna wakamaria pesa zao ndani! Hivi hawa gaming board of Tz nao ni miyeyusho hawana usaidiziHawa jamaa waliamua kubet mtaji wao wote ukapigwa bsi ikawa ndio kifo Chao rip mkeka bet
Wape ajira.Vijana achen kucheza kamari
Nahisi ndo sababu hiiJawa jamaa watakuwa wamefirisika japo walikuwa best betting site kwa Tz! ila account yao ya mpesa bado iko on
Wezi hatari, wamepiga wananchi wengi pesa zao, now wamerudi pesa kwenye akaunti za watu hakunaJawa jamaa watakuwa wamefirisika japo walikuwa best betting site kwa Tz! ila account yao ya mpesa bado iko on
wapigie simu mkuu mm niliwapigia simu baada ya kuwapa namba niliyokua natumia wakaniridishia ile ile iliyokuepoWamerudi ila pesa zetu zilizokuwemo kwenye akaunti zimekwenda. Huu ni uhuni
Nimeshajaribu mara 3 ile namba yao haipokelewi au naambiwa haiwezi kuunganishwa. Kama kuna namba nyingine naomba mkuuwapigie simu mkuu mm niliwapigia simu baada ya kuwapa namba niliyokua natumia wakaniridishia ile ile iliyokuepo