Wako wapi mkekabet?

Hawa jamaa waliamua kubet mtaji wao wote ukapigwa bsi ikawa ndio kifo Chao rip mkeka bet
Yani hawaonekani popote dadeki, na kuna wakamaria pesa zao ndani! Hivi hawa gaming board of Tz nao ni miyeyusho hawana usaidizi
 
Jawa jamaa watakuwa wamefirisika japo walikuwa best betting site kwa Tz! ila account yao ya mpesa bado iko on
Nahisi ndo sababu hii
Screenshot_20220712-204954_Chrome.jpg
 
Pesa za wateja kwenye akaunti ya mkekabet hazipo. Huu ni wizi. Nani anawalinda pale Gaming Board? Haiwezekani udhulumu wananchi halafu kampuni iendelee kufanya kazi. Inabidi serikali kuingilia kati.
Wamefunga operation ghafla almost 2 months now ligi zimeanza wamerudi na pesa za watu wamekula. Hii kampuni haina credibility ya kuendesha betting Tz otherwise uhuni huu utaigwa na kampuni zingine na kulaghai wananchi.
 
wapigie simu mkuu mm niliwapigia simu baada ya kuwapa namba niliyokua natumia wakaniridishia ile ile iliyokuepo
Nimeshajaribu mara 3 ile namba yao haipokelewi au naambiwa haiwezi kuunganishwa. Kama kuna namba nyingine naomba mkuu
 
Niliwaotea 1.3 milioni wakanilipa instanly ila nikaacha kubet nao walinikata laki mbili na point
 
Back
Top Bottom