Wakili Simon Patrick: Waamuzi wa Ligi Kuu Bara wanachezesha mechi kwa maelekezo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,753
6,577
Screenshot 2025-02-20 110015.jpg
Ukweli usiofichika ni kwamba Yanga na Simba zimekua kubwa na zenye nguvu kuliko mamlaka za soka nchini.

Wasimamizi wa soka letu wako tayari kuzibeba hizi timu ili kuwafurahisha watu kuliko kutenda haki.

Kadri muda unavyosonga, ligi inayoitwa ya nne kwa ubora barani Afrika inazidi kuwa ligi ya vituko kiasi kwamba inakuwa aibu kuisifia mbele ya watu wenye akili.

Waamuzi wa mechi ya leo wamechezesha kwa maelekezo mpaka wao wenyewe wameona aibu kwa vituko walivyofanya.

Waamuzi hawafanyi makosa kwa bahati mbaya kama wengi wanavyodhani, bali wanatekeleza maelekezo waliyopewa.

Muda umefika wa kuvunjwa kwa Kamati ya Waamuzi Tanzania pamoja na waamuzi wote, kwani hawana mchango wala msaada wowote katika maendeleo ya soka la nchi yetu.

Shame on you Waamuzi!
Snapinst.app_458922915_18455851915054538_6974589349050629400_n_1080.jpg

Snapinst.app_453902426_18448780021054538_1488234562345768227_n_1080.jpg
 
TFF wanafumbia macho haya madudu Tangu ligi ianze, na kwakuwa watu wanatimu zao basi wanapoteza hata radha ya mpira

Mfano, mimi jana niliacha kuangalia mpira kwasababu ya vitu ambavyo havieleweki. Hii hali itaenda itafika hatua hadi Azam watakuja kupata hasara. Mpira ni burdani mtu unapotenga muda basi upate value ya muda wako na sio vituko kila siku.
 
Ukweli usiofichika ni kwamba Yanga na Simba zimekua kubwa na zenye nguvu kuliko mamlaka za soka nchini.

Wasimamizi wa soka letu wako tayari kuzibeba hizi timu ili kuwafurahisha watu kuliko kutenda haki.

Kadri muda unavyosonga, ligi inayoitwa ya nne kwa ubora barani Afrika inazidi kuwa ligi ya vituko kiasi kwamba inakuwa aibu kuisifia mbele ya watu wenye akili.

Waamuzi wa mechi ya leo wamechezesha kwa maelekezo mpaka wao wenyewe wameona aibu kwa vituko walivyofanya.

Waamuzi hawafanyi makosa kwa bahati mbaya kama wengi wanavyodhani, bali wanatekeleza maelekezo waliyopewa.

Muda umefika wa kuvunjwa kwa Kamati ya Waamuzi Tanzania pamoja na waamuzi wote, kwani hawana mchango wala msaada wowote katika maendeleo ya soka la nchi yetu.

Shame on you Waamuzi!
Jamii ya kitanzania imeipokea kwa mikono miwili tabia ya kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi
 
Watu walipoongea kwenye mechi Yao na Simba walijizima data sasa na wenzao wameamua waende kama wanavyofanya wao maneno yameanza hii ligi imejaa ujinga sana
 
Ukweli usiofichika ni kwamba Yanga na Simba zimekua kubwa na zenye nguvu kuliko mamlaka za soka nchini.

Wasimamizi wa soka letu wako tayari kuzibeba hizi timu ili kuwafurahisha watu kuliko kutenda haki.

Kadri muda unavyosonga, ligi inayoitwa ya nne kwa ubora barani Afrika inazidi kuwa ligi ya vituko kiasi kwamba inakuwa aibu kuisifia mbele ya watu wenye akili.

Waamuzi wa mechi ya leo wamechezesha kwa maelekezo mpaka wao wenyewe wameona aibu kwa vituko walivyofanya.

Waamuzi hawafanyi makosa kwa bahati mbaya kama wengi wanavyodhani, bali wanatekeleza maelekezo waliyopewa.

Muda umefika wa kuvunjwa kwa Kamati ya Waamuzi Tanzania pamoja na waamuzi wote, kwani hawana mchango wala msaada wowote katika maendeleo ya soka la nchi yetu.

Shame on you Waamuzi!
Kwanza huyu aliangalia mpira kweli penalty zote zilikuwa halali kufuatana na sheria za soka na red card also sheria no 12 inaelezea vitendo visivyo vya kiungwa kwa wachezaji so also red card ni halali piaa sasa mwamuzi amefanya kosa gani au ukitoa penalty mtu akicheza foul tena kwa penalty box haitakiwa kuwa penalty anaongea kwa mihemko tu apeleke uwakili huko.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Ukweli usiofichika ni kwamba Yanga na Simba zimekua kubwa na zenye nguvu kuliko mamlaka za soka nchini.

Wasimamizi wa soka letu wako tayari kuzibeba hizi timu ili kuwafurahisha watu kuliko kutenda haki.

Kadri muda unavyosonga, ligi inayoitwa ya nne kwa ubora barani Afrika inazidi kuwa ligi ya vituko kiasi kwamba inakuwa aibu kuisifia mbele ya watu wenye akili.

Waamuzi wa mechi ya leo wamechezesha kwa maelekezo mpaka wao wenyewe wameona aibu kwa vituko walivyofanya.

Waamuzi hawafanyi makosa kwa bahati mbaya kama wengi wanavyodhani, bali wanatekeleza maelekezo waliyopewa.

Muda umefika wa kuvunjwa kwa Kamati ya Waamuzi Tanzania pamoja na waamuzi wote, kwani hawana mchango wala msaada wowote katika maendeleo ya soka la nchi yetu.

Shame on you Waamuzi!
Kesi yetu ya Yusuph Kagoma inaendeleaje?
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Kwanza huyu aliangalia mpira kweli penalty zote zilikuwa halali kufuatana na sheria za soka na red card also sheria no 12 inaelezea vitendo visivyo vya kiungwa kwa wachezaji so also red card ni halali piaa sasa mwamuzi amefanya kosa gani au ukitoa penalty mtu akicheza foul tena kwa penalty box haitakiwa kuwa penalty anaongea kwa mihemko tu apeleke uwakili huko.
Kama alitoa red card why hakutoa penalty, wakati tukio lilitokea ndani ya box la 18?. Acheni utoto wa kijinga.
 
Back
Top Bottom