Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,715
- 4,455
Wakuu,
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi akieleza matamanio yake ya kuona Wakili Tundu Lissu akiibuka kidedea dhidi ya mshindani wake wa karibu Freeman Mbowe kwenye mchakato wa ndani wa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) unaoendelea
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi akieleza matamanio yake ya kuona Wakili Tundu Lissu akiibuka kidedea dhidi ya mshindani wake wa karibu Freeman Mbowe kwenye mchakato wa ndani wa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) unaoendelea