Pre GE2025 Wakili Mwabukusi aeleza kuwa Tanganyika Lawyers' Society (TLS) hawajalamba asali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Aug 15, 2024
286
437
Wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya sheria nchini rais wa chama cha wanasheria Tanganyika Boniface Mwabukusi amesema kuwa;

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya sheria nchini rais wa chama cha wanasheria Tanganyika Boniface Mwabukusi amesema kuwa;

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS
Arudishe gari kwa serikali...Yupo kwenye payroll huyo hana makali siku hizi...Njaa mbaya sana.
 
Wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya sheria nchini rais wa chama cha wanasheria Tanganyika Boniface Mwabukusi amesema kuwa;

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS

View attachment 3223454
wamepewa gari jipya na rais ukali wote umepotea cheza na serikali wewe? alikuwaga mkali kama pilipili sasahivi alivyopokea na zile pesa kwisha kabisa amebaki mwabukusu tuuu
 
Rais wa TLS ,CHAMA cha wanasheria mh Mwabukusi amewajibu wale wote wanaosema amelamba asali,
Amesema" ukiwa kiongozi unatenda kwa kalamu na sio kusema."
Kubwa kuliko yote , mwabukusi ni kiongozi ambae yuko very strong, hajaonesha uchawa wote mbele ya rais zaidi ya kusema changamoto zao za TLS, cha kushangaza kamsema mpaka spika Tulia Ackson kuwa hajatoa pesa ya wanachama, Tulia akiwa mbele anasikiliza, tuwapate wapi viongozi kama HAWA kwa ajili ya ukombozi wa taifa hili jamani?
Huyo jamaa huwa hapepesi macho ukweli anausema kweupe ukiangalia ni mara ya kwanza kukutana na rais wa nchi. Kama sijakosea
Wangekuwa wengine hapo wangetaja jina la mama mara 100 bila kusema shida zao ,hakika TLS imepata kiongozi bora. Chanzo azam tv. Mungu ibariki Tanzania.
 
Kuna mnyukano wa chini chini kati ya viongozi wa TLS kwamba Rais wa TLS amelamba asali. Hii imekuja baada ya Rais huyo kuonekana karibu zaidi na serikali badala ya TLS.
Licha ya kukanusha mara nyingi Rais kwamba hajalamba asali lakini hivi sasa inaonekana hili swala limekuwa kubwa ndani ya TLS.
Huyu Rais wakati wa uchaguzi wa chadema alikuwa upande wa lissu na kudai mbowe Kalama asali.
Twende tuone khatma ya Rais wetu huyu
 
Kuna mnyukano wa chini chini kati ya viongozi wa TLS kwamba Rais wa TLS amelamba asali. Hii imekuja baada ya Rais huyo kuonekana karibu zaidi na serikali badala ya TLS.
Licha ya kukanusha mara nyingi Rais kwamba hajalamba asali lakini hivi sasa inaonekana hili swala limekuwa kubwa ndani ya TLS.
Huyu Rais wakati wa uchaguzi wa chadema alikuwa upande wa lissu na kudai mbowe Kalama asali.
Twende tuone khatma ya Rais wetu huyu
Inawekana mkuu, maana yupo kimya sana
 
Wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya sheria nchini rais wa chama cha wanasheria Tanganyika Boniface Mwabukusi amesema kuwa;

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS

View attachment 3223454
Watanzania wengi wanasumbuliwa na logical fallacy ya false dichotomy.
 
Rais wa TLS ,CHAMA cha wanasheria mh Mwabukusi amewajibu wale wote wanaosema amelamba asali,
Amesema" ukiwa kiongozi unatenda kwa kalamu na sio kusema."
Kubwa kuliko yote , mwabukusi ni kiongozi ambae yuko very strong, hajaonesha uchawa wote mbele ya rais zaidi ya kusema changamoto zao za TLS, cha kushangaza kamsema mpaka spika Tulia Ackson kuwa hajatoa pesa ya wanachama, Tulia akiwa mbele anasikiliza, tuwapate wapi viongozi kama HAWA kwa ajili ya ukombozi wa taifa hili jamani?
Huyo jamaa huwa hapepesi macho ukweli anausema kweupe ukiangalia ni mara ya kwanza kukutana na rais wa nchi. Kama sijakosea
Wangekuwa wengine hapo wangetaja jina la mama mara 100 bila kusema shida zao ,hakika TLS imepata kiongozi bora. Chanzo azam tv. Mungu ibariki Tanzania.
BAK, hamkubali sana
 
Back
Top Bottom