Wakenya taratibu please msiivuruge nchi yenu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
16,356
26,517
1719497425274.png
Wakenya, wenzetu ndugu zetu na majirani zetu.

Yanayoendelea kwenu si ya kufurahisha na hata wanoshabikia hawaelewi mateso yanayowapata baadhi ya wakenya.

Msiivuruge nchi yenu tafadhali.

Ilindeni amani yenu na tatueni matatizo yenu kwa amani.

Vijana Gen Z, waombwe watuulie wakati wazee toka kila kabila la Kenya, iwe Wajaluo, Wakikuyu, Wakalenjin, Wamasai, Wakamba. Wameru na Waturkana na wenzangu na mie Wadigo wa Mombasa, wazee wao wakusanyike wakati huu na kuwapoza vijana.

Amani ya Kenya ndio amani ya Tanzania.

Tunawaombea Wakenya.
 
Mimi pia nawatakia Ndugu zetu Wakenya Pole nyingi sana kwa wale Vijana wadogo waliopoteza Maisha yao na wale Raia waliochomewa Property zao.

Sasa ni wakati uchunguzi ufanyike kwanini Polisi walitumia nguvu nyingi vile.
 
Wakenya, wenzetu ndugu zetu na majirani zetu.

Yanayoendelea kwenu si ya kufurahisha na hata wanoshabikia hawaelewi mateso yanayowapata baadhi ya wakenya.

Msiivuruge nchi yenu tafadhali.

Ilindeni amani yenu na tatueni matatizo yenu kwa amani.

Vijana Gen Z, waombwe watuulie wakati wazee toka kila kabila la Kenya, iwe Wajaluo, Wakikuyu, Wakalenjin, Wamasai, Wakamba. Wameru na Waturkana na wenzangu na mie Wadigo wa Mombasa, wazee wao wakusanyike wakati huu na kuwapoza vijana.

Amani ya Kenya ndio amani ya Tanzania.

Tunawaombea Wakenya.
Kenge kweli wewe juha! Waache wakenya wajenge nchi yao,wewe endelea kumsifia Bibi tozo na amani yenu ya kinafiki,mwakani sukari itauzwa kilo 8000,
 
Back
Top Bottom