A
Anonymous
Guest
Wakazi wa wilaya ya Morogoro eneo la Mkuyuni tumewakosea nini, kila siku iendayo kwa Mungu lazima mkate at least sekunde mbili au tatu na mida yenu ya kukata ni kuanzia saa mbili hadi nne.
Mmeshatuunguzia vitu hadi imetosha sasa, yaani inakuwa kero. Ni service gani mnafanya kila siku muda ule ule unaokaribiana?
Kuna vitu havihitaji kuzimiwa umeme ghafla na kurudisha, maana kila mkikata hata sekunde tano hazipiti mmerudisha.
Tafadhali oneeni huruma jasho letu.
Mmeshatuunguzia vitu hadi imetosha sasa, yaani inakuwa kero. Ni service gani mnafanya kila siku muda ule ule unaokaribiana?
Kuna vitu havihitaji kuzimiwa umeme ghafla na kurudisha, maana kila mkikata hata sekunde tano hazipiti mmerudisha.
Tafadhali oneeni huruma jasho letu.