Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
1,113
3,141
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, maji nayo yakafa Kinyerezi.

Hivi sasa maji yanatoka mara moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika ikiwemo mitaa ya St Alex kwa Babu Ali hadi Sihaba.

Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika, solution watu wameamua wachimbe visima na kuachana na maji ya DAWASA.

Soma Pia: KERO - Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3
Soma Pia: KERO - Hujuma ya Huduma ya Maji Kinyerezi - Kifuru kutoka Dawasa Kinyerezi
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,maji nayo yakafa Kinyerezi,hivi sasa maji yanatoka mara Moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika,maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika, solution watu wameamua wachimbe visima na kuachana na maji ya Dawasa.
Umaskini Tanzania ni kama ule wa Malawi tu. Sema sisi tumeshauzoea
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,maji nayo yakafa Kinyerezi.

Hivi sasa maji yanatoka mara Moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika.

Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika, solution watu wameamua wachimbe visima na kuachana na maji ya Dawasa.

Soma Pia: KERO - Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3

Some Pia: KERO - Hujuma ya Hudumaya Maji Kinyerezi - Kifuru kutoka Dawasa Kinyerezi
Mkuu ongeza picha basi uzi upate nyama
 
Kinacho nishangaza maji yanatoka mara 3-4 kwa mwezi, kibaya bili zinakuja na ukali ule ule, hata wakati wa jiwe!, uwepo wa jiwe au kutokuwepo kwake hali ni ile ile.
 
Ni takribani mwezi na siku kadhaa tokea wakazi wa maneno ya Kinyerezi mpaka Kifuru na viunga vyake waone maji yakitoka katika mabomba yao ya maji ya Dawasa huku pakiwa hakuna taarifa yoyote kutoka Dawasa Kinyerezi ya kwanini huduma hiyo haipatikani,toka mwaka jana wanatest tanki jipya uko kwembe,wananchi wa Kinyerezi wameamua waunganishe nguvu kila mwananchi wa Kinyerezi achimbiwe kisima na tuachane na kutegemea maji ya Dawasa
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,maji nayo yakafa Kinyerezi.

Hivi sasa maji yanatoka mara Moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika.

Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika, solution watu wameamua wachimbe visima na kuachana na maji ya Dawasa.

Soma Pia: KERO - Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3

Some Pia: KERO - Hujuma ya Huduma ya Maji Kinyerezi - Kifuru kutoka Dawasa Kinyerezi
Mbunge wao ni nani
 
Kuna Tanki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita za Maji milioni 9 kwa siku, ambalo linajengwa kwa gharama ya takribani bilioni 34.5 kila siku linajengwa haliishi,
 
Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,maji nayo yakafa Kinyerezi.

Hivi sasa maji yanatoka mara Moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika.

Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika, solution watu wameamua wachimbe visima na kuachana na maji ya Dawasa.

Soma Pia: KERO - Wakazi wa Kinyerezi hatuna maji leo siku ya 3

Some Pia: KERO - Hujuma ya Huduma ya Maji Kinyerezi - Kifuru kutoka Dawasa Kinyerezi
Dar maji ni tabu tupu. Kuna mtaa huko segerea kisukuru maji yanatoka mara moja.kwa wiki sa7 usiku..imagine mtu uchote.maji sa7 usiku mateso haya. Kabla.ya Magufuli kufariki yalikuwa yanatoka mchana mara 2 kwa wiki.
 
Kuna Tanki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita za Maji milioni 9 kwa siku, ambalo linajengwa kwa gharama ya takribani bilioni 34.5 kila siku linajengwa haliishi,
Juzi wamesema tarehe 20 wanakamilisha mradi maji yatakua bwerere.

Nachojua wafanyakazi wa DAWASCO kinyerezi wanaubia na magari ya kuuza maji. Wana ganji lao kubwa tu.

Inafikia miezi miwili hamna maji na yakitoka ni saa limoja. Imagine tumepata maji toka dec wakatoa february unit moja wakakata....
 
Meneja bwana BM anatuchora tu na ahadi zake. Tarehe 20 Feb sio mbali. Ntu sio chura akose kumbukumbu, usiku wa deni haukeshi.
 
Back
Top Bottom