Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,082
- 9,809
Wakuu ikumbukwe Taifa hili la Tanganyika huwa linapeleka jumla ya timu nne kwenye michuano ya kimataifa.
Caf Champions league timu mbili na Cafcc timu mbili, katika hali ya kushangaza ni timu moja pekee tu ndio imesalia kwenye michuano hiyo ya kimataifa.
Kama Taifa tuna kila sababu ya kuwekeza nguvu zetu zote ili kuhakikisha timu simba sc inasonga mbele zaidi.
Hivi ninavyoandika ujumbe huu simba sc tayari imewasili mjini ismailia nchini Misri, tayari kuwavaa almasry hapo April 2 majira ya saa moja jion kwasaa za huku kwetu.
Endapo simba sc itafanikiwa kuvuka hatua hii ya robo fainali, taifa hili litaandika histori, kwani club hii kubwa nchini na Africa itapanda viwango vya vilabu Africa hadi nafasi ya tano.
Caf Champions league timu mbili na Cafcc timu mbili, katika hali ya kushangaza ni timu moja pekee tu ndio imesalia kwenye michuano hiyo ya kimataifa.
Kama Taifa tuna kila sababu ya kuwekeza nguvu zetu zote ili kuhakikisha timu simba sc inasonga mbele zaidi.
Hivi ninavyoandika ujumbe huu simba sc tayari imewasili mjini ismailia nchini Misri, tayari kuwavaa almasry hapo April 2 majira ya saa moja jion kwasaa za huku kwetu.
Endapo simba sc itafanikiwa kuvuka hatua hii ya robo fainali, taifa hili litaandika histori, kwani club hii kubwa nchini na Africa itapanda viwango vya vilabu Africa hadi nafasi ya tano.