Wakati Tanzania tunasuasua kuhusu Wawekezaji, Kwa mara ya kwanza Senegal Yaanza Kuzalisha Mafuta Kupitia Kampuni ya Australia.

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
8,759
10,207
Nchi ya Senegal imeanza uzalishaji wa Mafuta ghafi Kwa mara ya kwanza ambapo itaanza na mapipa 100,000 Kwa siku Kupitia Kampuni ya Australia.

Visima vya Mafuta vilivyopo ndani ya Bahati(kama gesi ya Lindi) vitaanza uzalishaji na kufungua ukurasa Mpya wa Maendeleo Nchink humo,ulisema taarifa ya Serikali Kupitia Rais wao na kwamba Fedha zitakazopatikana zitatumika vyema.

Kwa mujibu wa mgawanyo, Serikali ya Senegal Kupitia Kampuni ya Serikali itaoata asilimia 18% na Wawekezaji watapata asilimia 72%.

Kwa Upande wa Tanzania,halinimekuwa tofauti linapokuja Suala la uwekezaji wa Mradi wa Gesi huko Lindi Mafanikio ya Senegal yanatokea wakati mradi wa gesi wa Lindi Ukiwa ume stack kufuatia Timu ya Majadiliano ya Serikali ya Tanzania kuja na mambo mapya Kila siku na milolongo isiyoisha Hadi wawekezaji wametishia kujitoa.

View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1800860583895388576?t=4TD4siDvz6On0tyZk2WqRg&s=19

My Take
Kukumbatia Mentality za Kijamaa ni sawa na kukumbatia umaskini.Maneno mengi sana Hadi yanakera.

Yaani Mwekezaji afanye Utafiti,aweke mtaji,aweke takenolojia na atafute soko afu mje Kugawana Kwa uwiano sawa? Hakuna Mwekezaji mpumbavu atafanga huo ujinga.

Kama Tanzania tunataka kufanikiwa kwenye Dunia ya ushindani tuondoke kwenye mgado wa akili za kijamaa na kupunguza mdomo.Haiingii akilini kukwamisha mradi wa Trilioni 108 Kwa sababu zisizo na msingi,Kila Mwekezaji tunamuita ni Mwizi ,hii haitufikishi popote Mali zinapatikana na kwingine watasepa huko na kutuacha na umaskini Wetu wa akili na Mali.

Pia soma hapa Mradi wa gesi-Lindi LNG Wa Thamani ya Trilioni 105 Hatihati Kukwamishwa na Michakato Isiyoisha. Ulitarajiwa Kuwa Legacy ya Samia

Soma hapa Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

Danadana zinaendelea Mwanasheria Mkuu wa Serikali 'aweka ngumu' Makubaliano baina ya Timu ya Serikali na Wawekezaji wa Mradi wa Gesi wa Lindi. Ataka warudi mezani

Wenye akili wameanza Kama Mozambique yenye Reserve kubwa ya Gesi Asilimia Imeanza Kuuza LNG Nje ya Nchi. Je, Mradi wa Lindi LNG Utatekelezeka na Gesi yetu Kiduchu?
 
Nchi ya Senegal imeanza uzalishaji wa Mafuta ghafi Kwa mara ya kwanza ambapo itaanza na mapipa 100,000 Kwa siku Kupitia Kampuni ya Australia.

Visima vya Mafuta vilivyopo ndani ya Bahati(kama gesi ya Lindi) vitaanza uzalishaji na kufungua ukurasa Mpya wa Maendeleo Nchink humo,ulisema taarifa ya Serikali Kupitia Rais wao na kwamba Fedha zitakazopatikana zitatumika vyema.

Kwa mujibu wa mgawanyo, Serikali ya Senegal Kupitia Kampuni ya Serikali itaoata asilimia 18% na Wawekezaji watapata asilimia 72%.

Kwa Upande wa Tanzania,halinimekuwa tofauti linapokuja Suala la uwekezaji wa Mradi wa Gesi huko Lindi Mafanikio ya Senegal yanatokea wakati mradi wa gesi wa Lindi Ukiwa ume stack kufuatia Timu ya Majadiliano ya Serikali ya Tanzania kuja na mambo mapya Kila siku na milolongo isiyoisha Hadi wawekezaji wametishia kujitoa.

View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1800860583895388576?t=4TD4siDvz6On0tyZk2WqRg&s=19

My Take
Kukumbatia Mentality za Kijamaa ni sawa na kukumbatia umaskini.Maneno mengi sana Hadi yanakera.

Yaani Mwekezaji afanye Utafiti,aweke mtaji,aweke takenolojia na atafute soko afu mje Kugawana Kwa uwiano sawa? Hakuna Mwekezaji mpumbavu atafanga huo ujinga.

Kama Tanzania tunataka kufanikiwa kwenye Dunia ya ushindani tuondoke kwenye mgado wa akili za kijamaa na kupunguza mdomo.Haiingii akilini kukwamisha mradi wa Trilioni 108 Kwa sababu zisizo na msingi.

Huu wimbo wa mabeberu umetengenezwa na wanasisa kufunika failure zao, halaf wanasiasa hao hao wanazunguka kwa nyuma na **** make deal na hao hao mabeberu

Sadly ni kwamba hakuna anaewaza kufatilia hivi vitu kuujua ukweli
 
Huu wimbo wa mabeberu umetengenezwa na wanasisa kufunika failure zao, halaf wanasiasa hao hao wanazunguka kwa nyuma na **** make deal na hao hao mabeberu

Sadly ni kwamba hakuna anaewaza kufatilia hivi vitu kuujua ukweli
Hata wale Wapinzani ambao tukidhani watafuatilia mambo ya msingi nao wanaingia kwenye wimbo wa kutukana wawekezaji eti ni wezi.

Juzi tuu hapo Namibia imetangaza kuvumbua Mafuta tena mengi yatakayoifanya kuwa Nchi ya 3 Afrika Kupitia Kampuni ya Kireno.

Wamesem wataharakisha uzalishaji wake.

Sisi Sasa
Liganga/Mchuchuma imekwama
Lindi LNG imekwama
Magadi soda Engaruka umekwama

Sasa wanataka na kukwamisha uwekezaji wa Bandari nk.
 
Tofauti ya KIONGOZI (Isomeke Kiongozi wa UMMA) na Mwananchi ni kwenye kufanya MAAMUZI SAHIHI na kwa Wakati..Shida ya Viongozi wengi wa nchi hii ni kutokufanya MAAMUZI ilhali wanaresources zote ..

Dunia kwa sasa ni KIJIJI tafuteni Wataalamu ndani na nje ya nchi,kwa ajili ya kisaidia kwenye kufikia MAAMUZi sahihi na ya haraka
 
Nchi ya Senegal imeanza uzalishaji wa Mafuta ghafi Kwa mara ya kwanza ambapo itaanza na mapipa 100,000 Kwa siku Kupitia Kampuni ya Australia.

Visima vya Mafuta vilivyopo ndani ya Bahati(kama gesi ya Lindi) vitaanza uzalishaji na kufungua ukurasa Mpya wa Maendeleo Nchink humo,ulisema taarifa ya Serikali Kupitia Rais wao na kwamba Fedha zitakazopatikana zitatumika vyema.

Kwa mujibu wa mgawanyo, Serikali ya Senegal Kupitia Kampuni ya Serikali itaoata asilimia 18% na Wawekezaji watapata asilimia 72%.

Kwa Upande wa Tanzania,halinimekuwa tofauti linapokuja Suala la uwekezaji wa Mradi wa Gesi huko Lindi Mafanikio ya Senegal yanatokea wakati mradi wa gesi wa Lindi Ukiwa ume stack kufuatia Timu ya Majadiliano ya Serikali ya Tanzania kuja na mambo mapya Kila siku na milolongo isiyoisha Hadi wawekezaji wametishia kujitoa.

View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1800860583895388576?t=4TD4siDvz6On0tyZk2WqRg&s=19

My Take
Kukumbatia Mentality za Kijamaa ni sawa na kukumbatia umaskini.Maneno mengi sana Hadi yanakera.

Yaani Mwekezaji afanye Utafiti,aweke mtaji,aweke takenolojia na atafute soko afu mje Kugawana Kwa uwiano sawa? Hakuna Mwekezaji mpumbavu atafanga huo ujinga.

Kama Tanzania tunataka kufanikiwa kwenye Dunia ya ushindani tuondoke kwenye mgado wa akili za kijamaa na kupunguza mdomo.Haiingii akilini kukwamisha mradi wa Trilioni 108 Kwa sababu zisizo na msingi,Kila Mwekezaji tunamuita ni Mwizi ,hii haitufikishi popote Mali zinapatikana na kwingine watasepa huko na kutuacha na umaskini Wetu wa akili na Mali.

Pia soma hapa Mradi wa gesi-Lindi LNG Wa Thamani ya Trilioni 105 Hatihati Kukwamishwa na Michakato Isiyoisha. Ulitarajiwa Kuwa Legacy ya Samia

Tunawaita wezi kwa vile hakuna tangible outcome ambayo inaonekana kwa maendeleo ya jamii yetu.
ID yako inanipa idea kuwa wewe ni economist , if not, at least we ni msomi.

Sasa, Norway ilivyo sasa ni kutokana na mafuta yaliyogundulika miaka ya mwanzo ya 60 (1963). Kuanzia hapo Noreway iko kama hivi iliyo, FIRST WORL.

sasa kwetu tangu mafuta??? (nadhani haya bado) na gesi , madini yagunduliwe, kuna la maana limewakomboa watanganyika kutokana na raasilimali hizo. That is the reason we brand them as THIEVES!
 
Tunawaita wezi kwa vile hakuna tangible outcome ambayo inaonekana kwa maendeleo ya jamii yetu.
ID yako inanipa idea kuwa wewe ni economist , if not, at least we ni msomi.

Sasa, Norway ilivyo sasa ni kutokana na mafuta yaliyogundulika miaka ya mwanzo ya 60 (1963). Kuanzia hapo Noreway iko kama hivi iliyo, FIRST WORL.

sasa kwetu tangu mafuta??? (nadhani haya bado) na gesi , madini yagunduliwe, kuna la maana limewakomboa watanganyika kutokana na raasilimali hizo. That is the reason we brand them as THIEVES!
Hakuna uwekezaji wowote wa manaa umefanyika hapa Tanzania Kwa sababu za mawazo ya kijamaa ,unategemea utaona matunda yapi ya uwekezaji Kwa kuwa brand wawekezaji kama Wezi?

So baada ya Rasilimali kuwa iddle ,ndio mumenugaika na kuwa kama Norway?
 
Wewe Wacha ujinga wako,Kwa hiyo hiyo ratio ya 18% vs 72% ni nini?

Kwani Tanzania Kuna uwekezaji ambao Serikali Haina hisa?
Lazima serikali ipate faida zaidi ya ya hapo ni useless yaani mwekezajia achukue 72% basi haina maana ya kuchimba , Africa watabaki maskini milele
 
Hata wale Wapinzani ambao tukidhani watafuatilia mambo ya msingi nao wanaingia kwenye wimbo wa kutukana wawekezaji eti ni wezi.

Juzi tuu hapo Namibia imetangaza kuvumbua Mafuta tena mengi yatakayoifanya kuwa Nchi ya 3 Afrika Kupitia Kampuni ya Kireno.

Wamesem wataharakisha uzalishaji wake.

Sisi Sasa
Liganga/Mchuchuma imekwama
Lindi LNG imekwama
Magadi soda Engaruka umekwama

Sasa wanataka na kukwamisha uwekezaji wa Bandari nk.
Chief lakini tulishaambiwa mafuta hayatakuwa tena deal miaka 30 ijayo kutokana na uwepo WA magari ya umeme?
 
Gas ya Mtwara imeleta impact gani kwa mwanachi wa kawaida?
Uwekezaji kwenye madini unatufaodisha vipi sisi wananchi?

Kama hivyo vichache tu hatuoni matokeo yoyote chanya, unategemea tuwaite vipi hao wawekezaji?

Japo kwangu kosa sio la mwekezaji, ni sisi watanzania wenyewe, ni wezi, ni wabadhirifu lakini huenda mikataba tunayoingia na hawa jamaa ni ya kinyonyaji na either hatujui au tunapewa rushwa ili mambo yaende.

Tulishuhudia miaka ya Mkapa walisema mikataba ilisainiwa huko Canada, walioenda kusaini walipewa mafungu ya pesa ili kupitisha mikataba ya kinyonyaji, so yeah lazima mtanzania awe na wasiwasi.
 
Kama watapata 18% hiyo ni sawa tu na mkataba wa mangungo na karl peter.hawatapata faida yeyote zaidi tutafanana nao kama kikwete alivyowauzia wachina gesi yetu ya mtwarwa Kwa kutudanganya na kutokutushirikisha kwenye mkataba huo wa kihuni ambao ni kichaa tu anayeweza kukubali.kikawaida Senegal wanatakiwa wapate asilimia si chini ya 40%.
 
Chief lakini tulishaambiwa mafuta hayatakuwa tena deal miaka 30 ijayo kutokana na uwepo WA magari ya umeme?
Kwani hoja yangu nimeiweka Kwa jail ya Mafuta? Nimeiweka kuonesha kwamba Nchi zingine zinashirikiana na wawekezaji.

Pili hata makaa ya mawe au gesi sio Nishati safi ,Dunia inaelekea kwenye matumizi ya Hydrogen na jua hivyo kuendelea kukumbatia gesi itadoda na bei yake itakuwa ndogo mara 2 ya offer ya Sasa.

Wenye akili kama hao hawasubirii,wanayatoa Sasa Ili kujenga uchumi wa Kisasa kwenye sekta zingine
 
Kama watapata 18% hiyo ni sawa tu na mkataba wa mangungo na karl peter.hawatapata faida yeyote zaidi tutafanana nao kama kikwete alivyowauzia wachina gesi yetu ya mtwarwa Kwa kutudanganya na kutokutushirikisha kwenye mkataba huo wa kihuni ambao ni kichaa tu anayeweza kukubali.kikawaida Senegal wanatakiwa wapate asilimia si chini ya 40%.
Gas ipo hakuna iliyouzwa,Hadi Sasa mumepata nini?

Pili hamuwezi lingana nao Kwa lolote ,kwani hukuona hata viwanja vyao vya mpira walipoandaa? Nyie mnavyo?

By the way hiyo 18% ni kubwa na Bora zaidi kuliko wewe ambae hupati kitu.Senegal na Ivory Coast ndio zinaongozwa Afrika Kwa Ukuaji wa Uchumi na uwekezaji,nyie Tanzania mnachoweza ni kuzaana na kuongeza idadi ya wajinga na wapiga domo kama unavyofanya wewe hapa.
 
Back
Top Bottom