Wafungwa maisha kwa ukatili wa mtoto kwenye school bus

Dkt. Gwajima D

Minister
Nov 28, 2015
772
4,982
Kuhusu kesi ya dereva na konda wa school bus kumkatili mtoto wa miaka 6, aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya star light pre and nursery school, Kinondoni, Dar es Salaam, watuhumiwa wote 2 walitiwa hatiani na walifungwa maisha kwa hukumu ya tarehe 22 mei, 2024.

Kuhusu tikio hili soma: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni aingilia taarifa za Madereva wa School Bus kudaiwa kunajisi Watoto

Habari zaidi utazipata 'in the resident magistrates court of Kivukoni, at kinondoni' case no. 392 of 2022 between republic versus washtakiwa hao wawili.

IMG-20240629-WA0010.jpg

KUMBUKIZI YA PICHA MWAKA 2022: Nikiwa nimesimama na Mhe. Gondwe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, tulipotembelea shule husika kufuatilia tukio hili.

WITO: Wazazi na Walezi tuendelee kuwa karibu na watoto siku zote. Mtoto ukiona anakataa kwenda shuleni ujiulize mara kadhaa na useme naye, akitoka shule sema naye kirafiki, kagua nguo zake, muogeshe, imba naye don't touch, muulize nani kamshika wapi na kampa zawadi gani ... kuwa karibu naye

Aidha, mkienda visiting days vunjeni ukimya ongeeni na watoto kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi yao.

Ikumbukwe, Serikali ilitoa waraka kuhusu umuhimu wa school bus kuwa na wahudumu wa kike, (matron). Tunaendelea na tathmini.
 
KUHUSU KESI YA DEREVA NA KONDA WA SCHOOL BUS KUMKATILI MTOTO WA MIAKA 6.

ALIYEKUWA MWANAFUNZI WA SHULE YA STAR LIGHT PRE AND NURSERY SCHOOL, KINONDONI,
DAR ES SALAAM,

MATOKEO: WATUHUMIWA WOTE 2 WALITIWA HATIANI NA WALIFUNGWA MAISHA KWA HUKUMU YA TAREHE 22 MEI, 2024.

Habari zaidi utazipata 'in the resident magistrates court of Kivukoni, at kinondoni' case no. 392 of 2022 between republic versus washtakiwa hao wawili.

KUMBUKIZI YA PICHA MWAKA 2022: Nikiwa nimesimama na Mhe Gondwe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,
tulipotembelea shule husika kufuatilia tukio hili.

WITO: Wazazi na Walezi tuendelee kuwa karibu na watoto siku zote. Mtoto ukiona anakataa kwenda shuleni ujiulize mara kadhaa na useme naye, akitoka shule sema naye kirafiki, kagua nguo zake, muogeshe, imba naye don't touch, muulize nani kamshika wapi na kampa zawadi gani ... kuwa karibu naye

Aidha, mkienda visiting days vunjeni ukimya ongeeni na watoto kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi yao.

Ikumbukwe, Serikali ilitoa waraka kuhusu umuhimu wa school bus kuwa na wahudumu wa kike, (matron). Tunaendelea na tathmini......
Hongera sana mh waziri,pia tusiishie tu kwa school bus kuwa na matron,serikali na asasi za kiraia watoe elimu kwa umma pamoja kuwe na jitihada za kuondoa umasikini.

Punguzeni umasikini na mtoe elimu kwa jamii...hii hali itapungua.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
KUHUSU KESI YA DEREVA NA KONDA WA SCHOOL BUS KUMKATILI MTOTO WA MIAKA 6.

ALIYEKUWA MWANAFUNZI WA SHULE YA STAR LIGHT PRE AND NURSERY SCHOOL, KINONDONI,
DAR ES SALAAM,

MATOKEO: WATUHUMIWA WOTE 2 WALITIWA HATIANI NA WALIFUNGWA MAISHA KWA HUKUMU YA TAREHE 22 MEI, 2024.

Habari zaidi utazipata 'in the resident magistrates court of Kivukoni, at kinondoni' case no. 392 of 2022 between republic versus washtakiwa hao wawili.

KUMBUKIZI YA PICHA MWAKA 2022: Nikiwa nimesimama na Mhe Gondwe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,
tulipotembelea shule husika kufuatilia tukio hili.

WITO: Wazazi na Walezi tuendelee kuwa karibu na watoto siku zote. Mtoto ukiona anakataa kwenda shuleni ujiulize mara kadhaa na useme naye, akitoka shule sema naye kirafiki, kagua nguo zake, muogeshe, imba naye don't touch, muulize nani kamshika wapi na kampa zawadi gani ... kuwa karibu naye

Aidha, mkienda visiting days vunjeni ukimya ongeeni na watoto kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi yao.

Ikumbukwe, Serikali ilitoa waraka kuhusu umuhimu wa school bus kuwa na wahudumu wa kike, (matron). Tunaendelea na tathmini......
Hongera sana mheshimiwa! Tuzidi kupinga na kukemea ukatili kwa watoto...
 
Palitoka agizo kwamba yule anayekaa na watoto kwenye gari la shule awe jinsia ya kike,na vioo vya magari visiwe tinted,he linasimamiwa hili?..maana Kuna siku nimeona vidume vitupu kwenye gari la shule na watoto
Yaani wanaume sijui tumekuaje, yaani badala ya kua walinzi wa familia sisi ndo tunaogopeka kwa sasa
 
Palitoka agizo kwamba yule anayekaa na watoto kwenye gari la shule awe jinsia ya kike,na vioo vya magari visiwe tinted,he linasimamiwa hili?..maana Kuna siku nimeona vidume vitupu kwenye gari la shule na watoto
Wako binadamu duniani siyo wasikivu. Na hupata viburi pale wanapoona, mbona huku jamii inaangalia tu? Ilitakiwa na jamii ishiriki hivi vita pale walipo umoja wa wazazi eneo husika kusema, huduma yako tafadhali Zingatia haya .... Tutafuatilia na kutathmini
 
Palitoka agizo kwamba yule anayekaa na watoto kwenye gari la shule awe jinsia ya kike,na vioo vya magari visiwe tinted,he linasimamiwa hili?..maana Kuna siku nimeona vidume vitupu kwenye gari la shule na watoto
Kwani wakiwa wa kike hawawezi kuwarubuni watoto ?

Mimi nikiwa mdogo nilibakwa na dada wa kazi sema sikuona kama ni mbaya nikavunga.
 
Kuhusu kesi ya dereva na konda wa school bus kumkatili mtoto wa miaka 6, aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya star light pre and nursery school, Kinondoni, Dar es Salaam, watuhumiwa wote 2 walitiwa hatiani na walifungwa maisha kwa hukumu ya tarehe 22 mei, 2024.

Kuhusu tikio hili soma: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni aingilia taarifa za Madereva wa School Bus kudaiwa kunajisi Watoto

Habari zaidi utazipata 'in the resident magistrates court of Kivukoni, at kinondoni' case no. 392 of 2022 between republic versus washtakiwa hao wawili.

View attachment 3029110
KUMBUKIZI YA PICHA MWAKA 2022: Nikiwa nimesimama na Mhe. Gondwe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, tulipotembelea shule husika kufuatilia tukio hili.

WITO: Wazazi na Walezi tuendelee kuwa karibu na watoto siku zote. Mtoto ukiona anakataa kwenda shuleni ujiulize mara kadhaa na useme naye, akitoka shule sema naye kirafiki, kagua nguo zake, muogeshe, imba naye don't touch, muulize nani kamshika wapi na kampa zawadi gani ... kuwa karibu naye

Aidha, mkienda visiting days vunjeni ukimya ongeeni na watoto kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi yao.

Ikumbukwe, Serikali ilitoa waraka kuhusu umuhimu wa school bus kuwa na wahudumu wa kike, (matron). Tunaendelea na tathmini.

Zero tolerance kwa wazalilishaji ni jambo la kupongezwa na kila aliye na utu.

Kudos mh. waziri kwa hakika kwenye vita hii umma uko upande wako.

Madhwalimu wote wa aina hii na wapewe hifadhi za kudumu where they belong: "magerezani!"
 
Safi sana ,yaani mijitu ina kazi inayowaingizia kipato ,wameshindwa kwenda kwa MACHANGU wakawapa elfu 5 wakachuja? Mtu utabakaje wakati warembo kibao wanakosa watu wa kuwaoa?
 
Back
Top Bottom