Kuelekea 2025 Wafuasi Chadema wamsindikiza Meya Mstaafu Boniface Jacob kurudisha fomu ya uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
22,591
26,269
05 September 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Boniface Jacob arudisha fomu akisindikizwa na mamia ya wanachama wa CHADEMA leo hii jijini Dar es Salaam.

Jeshi la polisi lapongezwa kwa kutoa ulinzi katika maandamano hayo.

Hali ilivyo mitaani Ubungo, Kibamba, Manzese hadi Kinondoni maandamano ya kurudisha fomu .. pamoja na mvua watu wengi wamejitokeza ili kumuunga mkono meya mstaafu Boniface Jacob almaarufu Bonny Yai.

Uchaguzi huu wa kanda ya Pwani ni muendelezo wa demokrasia ya ndani ya chama cha CHADEMA kuchagu viongozi wa kanda za chama cha CHADEMA nchini kote.

==========

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimsindikiza aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kurudisha fomu ya kugombea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani leo Septemba 5, 2024.

Maandamano hayo ya amani yameanzia Manzese yakitarajiwa kutamatika ofisi za chama hicho Kanda ya Pwani, zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.


Pia, soma: Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
 
Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimsindikiza aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kurudisha fomu ya kugombea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani leo Septemba 5, 2024.

Maandamano hayo ya amani yameanzia Manzese yakitarajiwa kutamatika ofisi za chama hicho Kanda ya Pwani, zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.


Pia, soma: Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
 
2025 kitaumana
 

Attachments

  • 20240822_113251.jpg
    20240822_113251.jpg
    160.1 KB · Views: 2
Naruhusiwa kuchukua fomu yakugombea ikiwa si mwanachama wa CDM na chama chochote kingine cha CCM.
 
05 September 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Boniface Jacob arudisha fomu akisindikizwa na mamia ya wanachama wa CHADEMA leo hii jijini Dar es Salaam.

Jeshi la polisi lapongezwa kwa kutoa ulinzi katika maandamano hayo.

Hali ilivyo mitaani Ubungo, Kibamba, Manzese hadi Kinondoni maandamano ya kurudisha fomu .. pamoja na mvua watu wengi wamejitokeza ili kumuunga mkono meya mstaafu Boniface Jacob almaarufu Bonny Yai.

Uchaguzi huu wa kanda ya Pwani ni muendelezo wa demokrasia ya ndani ya chama cha CHADEMA kuchagu viongozi wa kanda za chama cha CHADEMA nchini kote.

==========

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimsindikiza aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kurudisha fomu ya kugombea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani leo Septemba 5, 2024.

Maandamano hayo ya amani yameanzia Manzese yakitarajiwa kutamatika ofisi za chama hicho Kanda ya Pwani, zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.


Pia, soma: Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Atapotezwa
 
Back
Top Bottom