Wafanyakazi wa Premium Betting wanahitaji somo la Customer Care

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
2,945
2,032
Sijui ni nani alowafundisha kuendesha hizi machine, akasahau kuwafundisha namna ya kuwajali wateja! Maana unaweza toka nyumbani uko vizuri hawa wadada au wakaka wakakuvuruga.

Sisi ndio tunafanya nyie mlipwe, mnatakiwa muwe na lugha nzuri kwetu. Muhindi jitahidi kuwagawia elimu hawa ndugu zetu hasa Matawi yako ya Mikoani..
 
Kamari ni haramu na hakuna haramu yeyote inayoambatana na "care" . . . . . .ndio ukome sasa!!!
 
imani tu hizo kwa mnaosema ni haramu. mbona kiti moto wengine wanasema ni haramu na wengine wanasema ni safi. afu mada haihusian na haramu ila ni customer care
Sasa we hujiulizi hii imekataliwa kote???!
Customer care ndio hiyo na hapo ndio best ever. . . . . .
 
Anatumia pesa lazima apewe customer care mzuri.heshima pesa.
 
Kamari si sawa mbele ya mungu

kitaalum uitwa Gambling Addiction, ukishanasa huko kutoka ni kazi kubwa sana sometimes mpaka upelekwe rehab kwa ajili ya recovery program ya kuishi bila kucheza hy michezo
 
Mshahara wenyewe 150, halafu wengi wao form 4, what au expecting, wako na lugha mbovu sana, me don't like em
 
haramu kwa mujibu wa nani?kama ni dini yako wengine tupo likizo ktk dini.NI HALALI KWA MUJIBU WA SHERIA 18+ tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom