Muulize MakondaKwani uko kete sh ngapi?
ngoja nikanunue iPhone 7 ugandaHata vifaa vya Simu uganda ni bei rahisi ukilinganisha na dar..Ukweli ni kwamba hapa ubora wa bidhaa na kodi wanayolipa ni sabb ya wafanyabiashara wengi kwenda kuchukua mzigo kule licha ya mzigo mwingine kupitia hapa dar ila bado ukiufata kule ni bei rahisi tofaut na hapa kwetu
Hueleweki kabisa.Nilimanisha. Mganda na mTZ wakienda kuchukua nguo say kwa dola 5. Either guangzo au shangai wareva.
Mtanzania 5×2500= 12000 TZ sh
Uganda pia dollar ina range kwenye 2500 itakua pia 12000 ug sh.
Sasa inamaana ukibadilisha 12000 itakuja 8000 ya tz kuliko uyichue kwa 15000 bora uende ug ununue kwa 8000. Cjui kama tupo sawa. Mwenye kufanya biashara mwengine atowe uzoef tafadhali
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Who that?Muulize Makonda
Unga wa Uganda 'Maganjo' ni mzuri sana.Inategemea unanunua duka Gani kuna mzee hapa anatupunja sana mzani wake mbovu ila anauza kilo 1600 sembe, dona ni 1500.
Maganjo sio 'mukwano' ndo mzuri au 'Bwaisee'Unga wa Uganda 'Maganjo' ni mzuri sana.
It was approximation my De.Hueleweki kabisa.
Hesabu ulizotoa pia ni fake.
What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.
Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
I see kusema kweli huyu mtu sijui anaandika kiarabu...hawezi kuandika na kutoa ufafanuzi ukaeleweka kabisa...Najua anayopoint kichwani ila kuiweka sawa ikaeleweka nadhani ndio tatizo lakeHueleweki kabisa.
Hesabu ulizotoa pia ni fake.
Ni elf 3000 nilikua natoa tu mfanoMkuu iangalie tena hesabu yako,haiwezekani dola moja ikawa 2400 kwa Uganda na Tz ikawa 2400
Wakati huo huo 5000 ya UG ikawa sawa na 3500tz.
Umesahau "sifa,ubabe,visasi na ujuaji wa kila kitu" hivi vinatuumiza sanaUrasimu , ukiritimba , uzembe , uvivu na ujinga uliokithiri huko bongo ndio matokeo unayoyaona
Sasa naomba kuuliza,nimesikia Kenya mabalo ya mitumba grade 1 ndo ipo quality kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Afrika mashariki,hili unalionaje ukilinganisha na mitumba ya Uganda?Kampala bidhaa kama nguo, viatu and the like ni very cheap-walishaingia kwenye nchi ya viwanda.
Kwa upande wa vipuri na vifaa vingine bado ni cheap sana licha ya kuingizwa UG kupitia Kenya. Bei iko chini kutokana na pesa yao kuwa chini ya Tz shilling hivyo ukiingia UG na laki 3 kama ni nguo na viatu tu unakuja full kama faru fausta.
What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.
Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha