Wachina wazitishia nchi zinazotaka kuvunja mahusiano ya kibiashara nayo na kutengeneza uhusiano na USA

Khanji kapoor

JF-Expert Member
Oct 19, 2024
1,943
4,595
Serikali ya ki Communist ya china imetishia kuchukua hatua kali dhidi nchi marafik waliokuwa wanafanya nao biashara baada ya nchi hizo kuwa ktk shinikizo la kuikacha china na kufanya biashara na USA

Utakumbuka kuwa kwa sasa USA chini ya Trump imekaribisha nchi nyingi kwa ajili ya mikataba mipya ya kibiashara

Mshauri wa Rais trump kwenye masuala ya uchumi amesema zaidi ya nchi 50 zimefka washington kwa ajili ya mazungumzo ya mikataba mipya

Kwahiyo kwa sasa trump anaita nchi moja moja

China apo ndio kachanganyikiwa anasema atachukua hatua kali😁

Sasa jiulize biashara inalazimishwa?

Mfano mdogo Tanzania inapokea mabilion ya msaaada kutoka USA ila Tanzania anafanya biashara kubwa na china kuliko USA ( hapo anaitwa kiongozi wa nchi akasaino deal)

Tusubiri tuone atachukua hatua gani uchina

Source: fox news
 
Serikali ya ki Communist ya china imetishia kuchukua hatua kali dhidi nchi marafik waliokuwa wanafanya nao biashara baada ya nchi hizo kuwa ktk shinikizo la kuikacha china na kufanya biashara na USA

Utakumbuka kuwa kwa sasa USA chini ya Trump imekaribisha nchi nyingi kwa ajili ya mikataba mipya ya kibiashara

Mshauri wa Rais trump kwenye masuala ya uchumi amesema zaidi ya nchi 50 zimefka washington kwa ajili ya mazungumzo ya mikataba mipya

Kwahiyo kwa sasa trump anaita nchi moja moja

China apo ndio kachanganyikiwa anasema atachukua hatua kali😁

Sasa jiulize biashara inalazimishwa?

Mfano mdogo Tanzania inapokea mabilion ya msaaada kutoka USA ila Tanzania anafanya biashara kubwa na china kuliko USA ( hapo anaitwa kiongozi wa nchi akasaino deal)

Tusubiri tuone atachukua hatua gani uchina

Source: fox news
Weka linki mkuu
 
Mataifa yanapigana vita ya biashara maana ni dhahiri biashara ndiyo inafanya nchi kuwa maskini au tajiri.

Rushwa, demokrasia vyote ni overrated. Rushwa, sijui migongano ya kisiasa kwangu ni matatizo ya kawaida saana kwenye nchi za kiafrika.

Tatizo kubwa ni hili ambalo marekani analipigania...na waligundua mapema wakatufanya tupotezee muda mwingii kujadili Rais awe Lisu au Magufuli, Odinga au Mudavadi....

Biashara biashara baina ya mataifa kama hatutaipa kipaumbele tutabaki kuzozana na vitatizo vya rushwa, demokrasia hadi Yesu arudi kama anampango wa kurudi.
 
Back
Top Bottom