Wachezaji wa Azam wanaopaswa kuchezea Simba Msimu ujao

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
438
1,588
Nawaomba na kuwasihi sana viongozi wa Simba, kuna mwaka tukiwabeba akina Manula, Nyoni, Bocco na Kapombe baada ya azam kushindwana nao kwenye dau , wachezaji hao waliiletea Simba heshima kubwa sana, hata hivyo matokeo ya jana azam kuliwa na Yanga yamenifanya niwashawishi viongozi wangu kufanya juu chini kuwasajili wachezaji hawa kutoka azam.

Feitoto, Pascal Msindo, Yahya Zayd, Idd Nado, Akaminko, Jibril Sylla na wengine

Aidha nawasihi sana yule Idd Kipagwile wa Dodoma Ana uwezo mkubwa sana kuliko Joshua Mutale, Ana uwezo mkubwa sana akitokea pembeni

Mwingine yule wa Ken Gold, anatumia guu la mavi na kusuka nywele, jina limenitoka kidogo, asante
 
Kwa hiyo unashauri Simba SC iende ikafanye window shopping pale Azam! . Pale Azam labda mchezaji mmoja tu au wawili.
 
Mkuu unamsema Seleman Bwenzi wa kengold ila yule mchezaji wa timu ndogo kwa sasa ,aende timu daraja la kati aongeze ubora wa gemu yake kabla hajafikiria lunyasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom