Vurugu patashika nguo kuchanika Kituo cha Mwendokasi, Kimara nyomi la watu wakigombania kupanda basi

The Watchman

JF-Expert Member
Nov 7, 2023
1,160
2,004
Hali ilivyokuwa asubuhi ya leo katika Kituo cha Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashuhuda, abiria waliamua kuingia barabarani na kusimamisha basi kwa nguvu, baada ya kukaa kituoni kwa muda mrefu huku mabasi yakipita bila kusimama.

Baada ya kusubiri kituoni kwa saa kadhaa, wakaamua kusimamisha basi hili kwa nguvu.

 
Hali ilivyokuwa asubuhi ya leo katika Kituo cha Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashuhuda, abiria waliamua kuingia barabarani na kusimamisha basi kwa nguvu, baada ya kukaa kituoni kwa muda mrefu huku mabasi yakipita bila kusimama.

Baada ya kusubiri kituoni kwa saa kadhaa, wakaamua kusimamisha basi hili kwa nguvu.
View attachment 3311884
halafu useme tuna serikali
 
Hali ilivyokuwa asubuhi ya leo katika Kituo cha Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashuhuda, abiria waliamua kuingia barabarani na kusimamisha basi kwa nguvu, baada ya kukaa kituoni kwa muda mrefu huku mabasi yakipita bila kusimama.

Baada ya kusubiri kituoni kwa saa kadhaa, wakaamua kusimamisha basi hili kwa nguvu.
View attachment 3311884
Chadema wangekuwa na uthubutu huu, nchi ingesonga mbele. NR NE ingetekelezeka . Siyo kufanya uchawa tuu.
Erythrocyte unaona chadema wanachotakiwa kufanya?
 
Chadema wangekuwa na uthubutu huu, nchi ingesonga mbele. NR NE ingetekelezeka . Siyo kufanya uchawa tuu.
Erythrocyte unaona chadema wanachotakiwa kufanya?
Sio chadema.
N wananchi wenyewe kuamua.
Akili hizi za kuamini chama cha siasa ndo kitakufikisha kwenye maendeleo ni ujinga.


Binafsi nimefurahi sana kuona hiyo video watu wakipambana kupata haki yao ya usafiri mana wamelipa Nauli bila uwepo wa chama chochote cha siasa, kama chadema kuwatetea.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa wananchi wasimame wenyewe kupigania haki zao bila kutegemea upumbavu wa chama fulani cha siasa.

Hii ni green light Kwa Wananchi kuwa wanaweza kupambana wao wenyewe kama ilivyotokea kwenye maandamano ya vijana kule kenya, hapakuwa na chama cha siasa kusema kwa niaba yao bali ni wao wenyewe tuu.

Hivi ndivyo mimi nataka, nipo tayari kuwa kwenye maandamano ya wananchi ila kusiwepo chama cha siasa.
 

Hali ilivyokuwa asubuhi ya leo katika Kituo cha Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashuhuda, abiria waliamua kuingia barabarani na kusimamisha basi kwa nguvu, baada ya kukaa kituoni kwa muda mrefu huku mabasi yakipita bila kusimama.

Baada ya kusubiri kituoni kwa saa kadhaa, wakaamua kusimamisha basi hili kwa nguvu.
 
Kwani hayo mabasi yana shida gani hayataki kupandisha abiria? Serikali iko wapi kutatua hii kero? Kama wameshindwa kazi, wawaachie wanaoweza.

Kweli mtu analipa nauli yake, atumie nguvu kusimamisha basi, vurugu kuingia. Bado mvua, muda, kusimama. Si sawa hawa ndiyo walipa kodi, wanaofaidi maisha wako kwenye viyoyozi na ma V8. MAISHA NI KUCHAGUA...
 
Kwamba basi hazitoshi ? Basi waongeze hizo basi, Public transport ni changamoto au mnataka tufanye kama India na treni zao

1745314637379.png
 
Back
Top Bottom