Umewhi kujiuliza kwenye hio vita ya congo ingekua ni jamii mbili tofauti ndo zinazopiganna yani mfano jamii moja iwe mtu mweus nyingine iwe mzungu au mwarabu mu asia n.k
Si kwa chuki, si kwa uchochezi, bali kwa kusema ukweli! unawezaje kumbagua mwafrika mwenzako mweusi mwenzako kisa kabila au asili yake
Vita inayoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo si vita ya kawaida—ni ni ukabila na ubaguzi wa wazi dhidi ya Watutsi.
Kwa miaka mingi, Watutsi wamekuwa wakibaguliwa, wakiteswa, na hata kulengwa kwa sababu ya utambulisho wao. Wanaitwa wageni katika nchi yao wenyewe! Wanafanywa kuwa wakimbizi wasiojulikana hatima yao!
Jamii ya kimataifa inashuhudia, lakini haichukui hatua stahiki. Serikali ya Kongo inatumia lugha ya chuki, ikiwachochea raia wake dhidi ya jamii fulani, badala ya kuleta amani na mshikamano wa kitaifa. Hii si haki!
Binafsi naona Amani haitapatikana kwa kuwabagua watu kwa kabila lao! Kila Mkongo ana haki ya kuishi kwa heshima na usalama bila kujali ukoo wake. Vita dhidi ya M23 ni kisingizio cha sera za kibaguzi dhidi ya Watutsi, na hili lazima lisemwe wazi
Hawa m23 wamenyooka wao wanachodai ni haki sawa kama raia wengine ,
Mfano rahisi Nyerere aliwahi sema huwezi kusema wamasai wa Tanzania sio raia wa Tanzania kwa sababu wanapatikana na kenya
Sisi Tanzania ashukuriwe Mungu na Nyerere hakuna ukabila
Si kwa chuki, si kwa uchochezi, bali kwa kusema ukweli! unawezaje kumbagua mwafrika mwenzako mweusi mwenzako kisa kabila au asili yake
Vita inayoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo si vita ya kawaida—ni ni ukabila na ubaguzi wa wazi dhidi ya Watutsi.
Kwa miaka mingi, Watutsi wamekuwa wakibaguliwa, wakiteswa, na hata kulengwa kwa sababu ya utambulisho wao. Wanaitwa wageni katika nchi yao wenyewe! Wanafanywa kuwa wakimbizi wasiojulikana hatima yao!
Jamii ya kimataifa inashuhudia, lakini haichukui hatua stahiki. Serikali ya Kongo inatumia lugha ya chuki, ikiwachochea raia wake dhidi ya jamii fulani, badala ya kuleta amani na mshikamano wa kitaifa. Hii si haki!
Binafsi naona Amani haitapatikana kwa kuwabagua watu kwa kabila lao! Kila Mkongo ana haki ya kuishi kwa heshima na usalama bila kujali ukoo wake. Vita dhidi ya M23 ni kisingizio cha sera za kibaguzi dhidi ya Watutsi, na hili lazima lisemwe wazi
Hawa m23 wamenyooka wao wanachodai ni haki sawa kama raia wengine ,
Mfano rahisi Nyerere aliwahi sema huwezi kusema wamasai wa Tanzania sio raia wa Tanzania kwa sababu wanapatikana na kenya
Sisi Tanzania ashukuriwe Mungu na Nyerere hakuna ukabila