Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,153
- 69,517
Wakuu, hivi kuna mtu anaelewea kwa nini Somalia walipigana vita vibaya hivyo kama wendawazimu kwa miongo yote hiyo wenyewe kwa wenyewe?
Sehemu nyingi zenye vita watu wakipagana huwa sababu zinatolewa labda ni madini, mafuta, ardhi au dini lakini hawa Wasomalia hivi vyote hata hawakuwa navyo!
Ni majini yaliwapanda kichwani au kitu gani kiliwapata wakawa wanapigana vita visivyoisha?!
Sehemu nyingi zenye vita watu wakipagana huwa sababu zinatolewa labda ni madini, mafuta, ardhi au dini lakini hawa Wasomalia hivi vyote hata hawakuwa navyo!
Ni majini yaliwapanda kichwani au kitu gani kiliwapata wakawa wanapigana vita visivyoisha?!