Hawa wakuu wa wilaya na mkoa kufanya ushabiki wa hizi timu kubwa uliopitiliza kiasi cha kuwachukulia timu asiyoipenda kama chama pinzani cha siasa kutahatarisha amani ya nchi hii.
Kuna mstari hawa viongozi wanataka kuvuka na Mungu asipowaongoza kwa hekma,watasababisha shida kubwa.Soka ni kama dini
Kuna mstari hawa viongozi wanataka kuvuka na Mungu asipowaongoza kwa hekma,watasababisha shida kubwa.Soka ni kama dini