Viongozi wa nchi za kiarabu kumwambia Trump hatutaki kumezidi kuivunjia heshima Marekani iliyokuwa taifa kubwa

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
8,778
14,084
Walipokutana viongozi wa mataifa ya kiarabu hapo juzi na kukataa mpango wa raisi Trump wa kuwahamisha wapalestina na kuimiliki Gaza kumeivunjia heshima pakubwa taifa la Marekani.
Tukio la hapo juzi lina sura kama ndio mara ya mwanzo kwa mataifa hayo kupingana na mipango inayotoka nchi za magharibi na kulazimishwa juu yao.
Tangu mkutano huo kumalizika kiongozi huyo wa Marekani ameonekana kupwaya sana na kuacha hata kulizungumzia tena suala hilo tamko lake alilolitoa kwa mbwembwe na vitisho vingi na kuungwa mkono na kiongozi wa Israel na swahiba yake Benjamin Netanyahu
 
Walipokutana viongozi wa mataifa ya kiarabu hapo juzi na kukataa mpango wa raisi Trump wa kuwahamisha wapalestina na kuimiliki Gaza kumeivunjia heshima pakubwa taifa la Marekani.
Tukio la hapo juzi lina sura kama ndio mara ya mwanzo kwa mataifa hayo kupingana na mipango inayotoka nchi za magharibi na kulazimishwa juu yao.
Tangu mkutano huo kumalizika kiongozi huyo wa Marekani ameonekana kupwaya sana na kuacha hata kulizungumzia tena suala hilo tamko lake alilolitoa kwa mbwembwe na vitisho vingi na kuungwa mkono na kiongozi wa Israel na swahiba yake Benjamin Netanyahu
Heshima wakati hao wote ni vibaraka wake mzee. Mambo kwa ground sio simpo hivyo. Sisi tupambane na huku kwetu congo na sudan
 
Heshima wakati hao wote ni vibaraka wake mzee. Mambo kwa ground sio simpo hivyo. Sisi tupambane na huku kwetu congo na sudan
UKibaraka una mipaka yake!! PALESTINA ni Mpaka Hatari ata kwa Vibaraka Wenyewe!! Ata mkeo kuna Mipaka Yenu Vipi kuusu Kibaraka wa mbali!!!!
 
UKibaraka una mipaka yake!! PALESTINA ni Mpaka Hatari ata kwa Vibaraka Wenyewe!! Ata mkeo kuna Mipaka Yenu Vipi kuusu Kibaraka wa mbali!!!!
Nani kakudanganya wewe. Yaan mimi nikuhakikishie usalama uniambie mipaka. Ingekuwa hivyo hicho kilichofanyika hapo Gaza wasingekubali. Maana ni kufuru
 
Milioni wakienda Misri, na milioni wakienda Jordan, hao ni wanajeshi wa kutosha kuivamia Israel kutokea pande mbili. Israel inajitafutia balaa kama inataka wapalestina waende ktk nchi hizo mbili.
 
Milioni wakienda Misri, na milioni wakienda Jordan, hao ni wanajeshi wa kutosha kuivamia Israel kutokea pande mbili. Israel inajitafutia balaa kama inataka wapalestina waende ktk nchi hizo mbili.
Kwa hiyo humo kwenye milioni 2 hakuna wanawake watoto wazee bali wote ni wanaume tena wenye uwezo wa kupambana?
 
Milioni wakienda Misri, na milioni wakienda Jordan, hao ni wanajeshi wa kutosha kuivamia Israel kutokea pande mbili. Israel inajitafutia balaa kama inataka wapalestina waende ktk nchi hizo mbili.
Mbaya zaidi wanauwezo wa kupigana kibanda kwa kibanda,mtaa kwa mtaa,ambapo upande ule hawawezi.
 
Back
Top Bottom