Trump ni udhihirisho wa kushindwa
Trump ni mpuuzi mwenzake Biden alikuja na sera ya kuyapa makampuni ruzuku kuyapunguzia gharama za uzalishaji yawekeze zaidi Marekani yeye kaja kuvuruga kila kitu.NIMEIPENDA kofia ya made in china
Hii vita china mshindi hana cha kupoteza
NIMEIPENDA kofia ya made in china
Hii vita china mshindi hana cha kupoteza
Ila wazayuni wanamsifia kama anachofanya ni cha maana sanaTrump ni mpuuzi mwenzake Biden alikuja na sera ya kuyapa makampuni ruzuku kuyapunguzia gharama za uzalishaji yawekeze zaidi Marekani yeye kaja kuvuruga kila kitu.
Ila nikumbuka jinsi Huawei ilivyokufa kipindi kile...bado mapema Sana kusema Marekani amefeli, hayo majamaa Yana mikakati iliyosukwa nyuma ya pazia .Umesema vyema, kaidharirisha sana Marekani kimataifa