KICHWA BOGA
Member
- Apr 27, 2014
- 51
- 15
HABARI wana JF, tunawahitaji vijana wote wasio na kazi yoyote. wafike chuoni kwetu cha MICTES kilichopo kihonda maghorofani jirani na shule ya msingi kihonda maghorofani. LENGO KUU;
Kupeana mawazo, elimu na miongozo juu ya nini twaweza kufanya ili kujikwamua kimaisha.
ADA
Ni huduma ya BURE ili kuimarisha jamii yetu yenye ustawi kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.
Wasiliana na
DEAN
0752-698691 na
0658-698691
Kupeana mawazo, elimu na miongozo juu ya nini twaweza kufanya ili kujikwamua kimaisha.
ADA
Ni huduma ya BURE ili kuimarisha jamii yetu yenye ustawi kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.
Wasiliana na
DEAN
0752-698691 na
0658-698691