Vijana wa miaka ya 90s na 2000 acheni tabia ya kuomba omba wanawake pesa

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
10,141
35,145
Hi tabia ya wanaumme kupiga mizinga wachumba wao, wake wao, marafiki zao wa kike imeshamiri sana katika vijana walio zaliwa kuanzia miaka ya 90s mpaka 2000 kwasbb moja.

Hawataki kupambana na maisha (hustle)kupata riziki halali, hiki ni kizazi cha betting mkeka, kizazi cha ushabikia wa mpira kuanzia asubuhi mpaka jioni, kizazi cha Forex online bussiness, kizazi cha dili za udalali. Hufikiri kwamba pesa ni rahisi kuipata kiasi hicho ndo maana kjomba omba wachumba wao

Sisi wa miaka ya 80s na kuendelea kuomba pesa mkeo au mpezi tunaona ni mwikoo ni kujidhalilisha wanaumme wako unapambana mpaka uipate kama mke anakupnea huruma anakupa kwa hiari bila kumuomba.

Kuna Mama moja hapa jf ameweka uzi wakupigwa mzinga na mchumba yake mpya mpaka sie wanaumme tukaona aibu, mwanaumme utanuna je kwasbb ujapewa pesa na demu wako, badilikeni vijana mna shusha hadhi ya kua mme.
 
Ndiyo mkuu na wahudumia vizuri na c waombi pesa zao kabisa
Basi unasafari ndefu sana lasivo utakuwa bado majukum hayajakukaa sawa au utakuwa yale makabila ya Gubu..

Mwanaume tena wake wawili unapata wapi muda wa kuandika kuhusu vijana?
Kwani hujui ujana una ujinga mwingi!!

Unasema kuna mama ameleta uzi hapa jf? Umehakikije ni mmama?

Wanaume huwa tuko mbali na umbea
Tupambane habari za vijana tuwaachie wakikua mbona automatically watakuwa sawa tu chief..
Samahani kwa ukali wa maneno
 
Basi unasafari ndefu sana lasivo utakuwa bado majukum hayajakukaa sawa au utakuwa yale makabila ya Gubu..

Mwanaume tena wake wawili unapata wapi muda wa kuandika kuhusu vijana?
Kwani hujui ujana una ujinga mwingi!!

Unasema kuna mama ameleta uzi hapa jf? Umehakikije ni mmama?

Wanaume huwa tuko mbali na umbea
Tupambane habari za vijana tuwaachie wakikua mbona automatically watakuwa sawa tu chief..
Samahani kwa ukali wa maneno
Acha mtoto wa miaka 32 ujana uko wapi kama sio ujinga wa kurithiana, miaka 22 mtoto wa nchi nyingine anakua tayari ana kampuni ana kua focused na maisha yake, sie vijana wa miaka 25 anashinda kwenye kibanda cha betting, kwanini huo asiolewe na demu.
 
Acha mtoto wa miaka 32 ujana uko wapi kama sio ujinga wa kurithiana, miaka 22 mtoto wa nchi nyingine anakua tayari ana kampuni ana kua focused na maisha yake, sie vijana wa miaka 25 anashinda kwenye kibanda cha betting, kwanini huo asiolewe na demu.
Usijae kirahisi hivo Chief
Umeshasema kijana wa nchi nyingine..
Nadhani mazingira ya vijana wa nchi unayajua..
Lakini pia zingatia hii
Wake zetu baadhi hawaridhiki na penzi letu na hivo kupelekea kuwahonga vijana ili wawasugue vyema
Hivyo basi kupelekea vijana kujazana ujinga wa kuhongwa na Wake zetu..
Kwahiyo badala ya kuwashutuma vijana wetu tuanze na Mazingira yanayowakabili pia..
 
Hi tabia ya wanaumme kupiga mizinga wachumba wao, wake wao, marafiki zao wa kike imeshamiri sana katika vijana walio zaliwa kuanzia miaka ya 90s mpaka 2000 kwasbb moja.

Hawataki kupambana na maisha (hustle)kupata riziki halali, hiki ni kizazi cha betting mkeka, kizazi cha ushabikia wa mpira kuanzia asubuhi mpaka jioni, kizazi cha Forex online bussiness, kizazi cha dili za udalali. Hufikiri kwamba pesa ni rahisi kuipata kiasi hicho ndo maana kjomba omba wachumba wao

Sisi wa miaka ya 80s na kuendelea kuomba pesa mkeo au mpezi tunaona ni mwikoo ni kujidhalilisha wanaumme wako unapambana mpaka uipate kama mke anakupnea huruma anakupa kwa hiari bila kumuomba.

Kuna Mama moja hapa jf ameweka uzi wakupigwa mzinga na mchumba yake mpya mpaka sie wanaumme tukaona aibu, mwanaumme utanuna je kwasbb ujapewa pesa na demu wako, badilikeni vijana mna shusha hadhi ya kua mme.
Ulimwengu umebadilika online business ni sehemu ya hasoling. Au ww umezoea hasoling mpaka mtu akalime atoe jasho mpaka mk...nd.uni
 
Basi unasafari ndefu sana lasivo utakuwa bado majukum hayajakukaa sawa au utakuwa yale makabila ya Gubu..

Mwanaume tena wake wawili unapata wapi muda wa kuandika kuhusu vijana?
Kwani hujui ujana una ujinga mwingi!!

Unasema kuna mama ameleta uzi hapa jf? Umehakikije ni mmama?

Wanaume huwa tuko mbali na umbea
Tupambane habari za vijana tuwaachie wakikua mbona automatically watakuwa sawa tu chief..
Samahani kwa ukali wa maneno
Nawe umepata wapi muda wa kuandika haya?
 
Usijae kirahisi hivo Chief
Umeshasema kijana wa nchi nyingine..
Nadhani mazingira ya vijana wa nchi unayajua..
Lakini pia zingatia hii
Wake zetu baadhi hawaridhiki na penzi letu na hivo kupelekea kuwahonga vijana ili wawasugue vyema
Hivyo basi kupelekea vijana kujazana ujinga wa kuhongwa na Wake zetu..
Kwahiyo badala ya kuwashutuma vijana wetu tuanze na Mazingira yanayowakabili pia..
Mkuu mazingira lazima ujuwekee mwenyewe hamna wakukuwekea mazingira hizi serikali za kiAfrica zinafana hazina mda wakukupa cha bure sifa ya mwanaumme yoyote ni kupambana upate rizk halali, ikika kihasara utatongozwa na demu, hamna kitu chenye laana kubwa kwa mwana umme kama utongozwa na Demu, maanake amekudharau na anaona huna uwezo wa kumtongoza na kumhudumia ndo maana watu wengine wanakufa na umasikini wa kutupa ndo laana hizo
 
Ulimwengu umebadilika online business ni sehemu ya hasoling. Au ww umezoea hasoling mpaka mtu akalime atoe jasho mpaka mk...nd.uni
Online bussiness utaiweza je unaishi ukwiriri kijijini muhitimu wa darasa la 7 shule ya msingi jamhuri, hata computer hujawahi kuitumia, huo ni ufinyu wa maono sio maono.
 
Nawe umepata wapi muda wa kuandika haya?
Naongea na mwanaume mwenzangu tena ana mathna kama mie kuwa tuachane na vijana kwanza tuendelee kupambana..
Wewe huwezi nielewa na nitakuwa nakukosea sana kubishana na wewe mwanamke....
Samahani dadangu sio vizuri kubishana na mtu ambae unaweza kumuoa ukamlisha..
 
Back
Top Bottom