upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 117
- 144
Zaidi ya watu 140,000 wanatarajiwa Kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Mpiga kura Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kufanya ukaguzi kwenye baadhi ya vituo hivyo Jimbo la Kilosa na Mikumi, amesema zoezi hilo linaendelea vizuri.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kufanya ukaguzi kwenye baadhi ya vituo hivyo Jimbo la Kilosa na Mikumi, amesema zoezi hilo linaendelea vizuri.