Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,498
- 7,065
Wakuu!
Huyu ni Kondesta Sichwale, Mbuge wa Jimbo la Momba mkoa wa Songwe. Inasemekana baada ya Vijana maarufu Greengard kudai posho zao, madai yao yamepelekea Kondesta kuchukizwa na kumchapa kibao huku akitoa lugha chafu.
Je, huu si unyanyasaji na udhalilisha? Usawa uko wapi?
Huyu ni Kondesta Sichwale, Mbuge wa Jimbo la Momba mkoa wa Songwe. Inasemekana baada ya Vijana maarufu Greengard kudai posho zao, madai yao yamepelekea Kondesta kuchukizwa na kumchapa kibao huku akitoa lugha chafu.
Je, huu si unyanyasaji na udhalilisha? Usawa uko wapi?