Video: Huduma kwa wateja Taasisi za Umma mbovu. Nimepiga simu Nest (PPRA) nusu saa hakuna anayepokea. Siasa zisiue huduma kwa jamii

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
884
1,679

 
Taasisi zote za umma majanga! PSSSF, TTCL, TANESCO, n.k. kibiashara ni zero kabisa kwasababu wauze wasiuze mishahara yao inaingia. Ndo maana nchi za kibepari ukiwaambia mambo ya kijamaa ni kesi ya uhaini na uujumu uchumi! China pia uzembe unaopelekea kuingizia hasara taifa kwa huduma mbovu wanakula kichwa. Ndo maana zimeendelea!
 
Taasisi zote za umma majanga! PSSSF, TTCL, TANESCO, n.k. kibiashara ni zero kabisa kwasababu wauze wasiuze mishahara yao inaingia. Ndo maana nchi za kibepari ukiwaambia mambo ya kijamaa ni kesi ya uhaini na uujumu uchumi! China pia uzembe unaopelekea kuingizia hasara taifa kwa huduma mbovu wanakula kichwa. Ndo maana zimeendelea!
Hizi taasis sijui zinafeli wapi kwenye huduma kwa huduma kwa wateja? Wanashindwaje ku out source hizi kazi za customer care?
 
Kuna mdau alitoa ushauri juzi humu kwamba jamaa awaandikie email ya malalamiko BOT!😁.

Kama simu tu zinaita na hazipokelewi hiyo email si itaonwa baada ya miaka mitano.
 
Cha ajabu wakipewa DP WORLD mtaanza kulalamika nchi imeuzwa..... taasisi za umma hazina mshindani na mishahara haitegemei mapato binafsi bali zinatoka hazina so hawana pressure ya ku perform.
 
Taasis za umma zinapaswa ku-outsource hiyo service,. Mitandao ya simu imefanikiwa kwa sababu huduma kama hizo wanapewa private sector
 
Tukubaliane tu kuwa CCM ndio chanzo cha kufeli kwa hili taifa sababu wamekumbatia majitu mazembe na mapumbavu huko kwenye ma taasisi.

Sasa watu hata simu kupokea kwao ni kazi waliomba hizo kazi kwaajiri ya malengo gani mbwa hawa takataka?
 
Tukubaliane tu kuwa CCM ndio chanzo cha kufeli kwa hili taifa sababu wamekumbatia majitu mazembe na mapumbavu huko kwenye ma taasisi.

Sasa watu hata simu kupokea kwao ni kazi waliomba hizo kazi kwaajiri ya malengo gani mbwa hawa takataka?
Sahihi
 
Back
Top Bottom